kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,035
- 459
Mwigulu ameupa ushind wa cdm ratha! maana the way alivyo na mbwembwe utathan hawez kukimbia. kumbe anamwogopa LEMA
Ipo siku atajua anachokisema, tofautisha uchaguzi wa kata nne za Uchagani na Gesi ya Ntwara.
Mpuuuuziii.
Waliweka kambi ya big brother magamba!Hongela sn J.Shoza&M.Mtela tumeona juhudi zenu mliweka kambi arusha na mumefanikisha ushind wa kimbunga!!
Haziwezi kuota mtwara lema anaweza siasa za kikabila tu mtwara wachaga siyo wengi.Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
Lema ndiyo habar yamjin
Waliweka kambi ya big brother magamba!
Wanajeshi walishindwa Mbeya, Mtwara pia watachemsha... Hakuna kama nguvu ya umma! Wananchi wakiamua waliohodhi madaraka hawatafua dafu...tuko pamoja kamanda Lema....Asisahau sindano ya ganzi na dawa ya maumivu,maana nasikia kule kuna wanajeshi na si polisi
Wameenda kuweka kambi ya kukulana na kula pesa za wananchi bila sababu.Ooh kaskazini this kaskazini that,sasa wakiulizwa walikuwa wakitafta nini huko,hawana jibu.Lakini fuatilia matumizi yao.Thambi ya usaliti!! moto kila mahali
Haziwezi kuota mtwara lema anaweza siasa za kikabila tu mtwara wachaga siyo wengi.
Ndugu watanzania wenzangu mie ni mmoja wa wasomi wa nchi hii nilisema hivi mtu kama mwigulu,nape na wasira ndo watu watakaoibomoa CCM na nilisema uelewa wao ni mdogo sana hawana uwezo wa kushawishi watanzaniam wa zama hizi.Ukipanda mtama utavuna mtama.Mwigulu wewe sio msomi ni zuzu kadanganye mazuzu wa singida imekula kwako .................................................
hivi CCM, can't they see this? do they view this move as just a coincidence? i dont believe it. do you?
Mkuu hutawaona hapa wanajipanga watoe single ya kutusahaulisha. Kichapo kibaya kile yaani serikari yote imechapwa mh,mawazili makatibu wakuu,igp,chagonja,na hutu tupolis uchwara mkuu waWapi HAMY D, Taswira, Zomba, Ze Marcopolo, Ritz, MAFILILI, Simiyu yetu, Sumu...?! Siwaoni kabisa kwenye hizi siredi. Wamekimbia bila hata kuaga... wametokea mlango gani?!