Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
Yeah! Nimeipenda sana! Tunahitaji mabadiliko na uwajibikaji wa viongozi kupitia demokrasia ya kweli! Be blessed Lema as your name rely on! Baada ya Arusha kasema mtwara, asiishie hapo tu! Maana sehemu nyingi sana kuna uozo! Aje apige perfume!Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
Hongera Kamanda Lema!!! Yaani hadi raha!!!!!!!!!!!
Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
wanajf, kama mnakumbuka vizuri, Lema alivuliwa Ubunge kiutata na mahakama pale Arusha hadi mahakama ya rufaa Dsm ikasema kwamba hukumu hii iko chini ya Viwango.Na lema akadai kuwa hukumu ile ina mkono wa JK. mtakumbuka pia kwamba Wakati LEMA akiwa likizo ya ubunge aliyopenda kuiita honey moon, JK alienda Arusha akawaambia wana Arusha kwamba, sasa amani imerejea Arusha, Miezi michache iliyopita haikuwa rahisi kuyakuta mazingira ya namna hii, na isingekuwa rahisi kufanya tukio la Kitaifa Arusha. Hapa alimaanisha kwamba kabla Lema hajavuliwa Ubunge Arusha ilikuwa vurugu tupu.
Kwa tafsiri rahisi, jK alikuwa anamfitinisha LEMA na wana Arusha kwa kauli hiyo, kwamba LEMA na Chadema ni watu wa vurugu.
Hata hivyo, wana Arusha wameonekana kuipuuza Kauli ya jk na kuirudisha Chadema Arusha. Huu ni ushindi mkubwa sana na imani kubwa sana ya wana Arusha kwa Chadema na Lema pale Arusha - yaani kumwamini Lema/chadema dhidi kauli ya Rais wa nchi.
Ushindi huu kwa sehemu kubwa umchangiwa na mambo mengi, kubwa ni uwezo mkubwa sana wa Lema wa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa sana kwa watu. Lema akihutubia kwa nusu saa huku akiwa nukuu akina Mandela, Lincolin, martin Luther King, Mahatma Gandhi nk na ukamsikiliza vizuri,lazima ubadilike. Na imani yangu kwamba ccm hawataweza kumwondoa Lema Pale Arusha hata wakimtuma PINDA, Mkapa, Mwinyi baada ya JK kukwama kumfitinisha LEMA.
Na ikumbukwe pia, hotuba za LEMA zinaweza kubadilisha upepo wa kisiasa nchi nzima kuelekea 2015 kama atapata fursa ya kuzunguka nchi hii. Nini hatma ya uchaguzi mkuu wa 2015 tukienda kwa mwendo huu?
Binafsi namtakia Lema Maisha marefu na Mungu amwepushe na watoa kucha, meno na macho bila ganzi. Mungu ibakiriki Arusha, Mungi ibariki Tanzania na Afrika.
NB Hata fitina ya mabomu nayo imepuuzwa na wana Arusha
HASA baada ya dili kuharibiwa na Freeman Mbowe.
Nawasilisha.[/QUOTE
Arusha ni ya kuonea huruma sana uchumi wao umeshuka sana, hakuna hela tena kama zamani , wamebakiza mbuga Za wanyama tu. Makongamano yote ya kimataifa yaliyo kuwa yakifanyika huko yamehamishiwa Dar kwenye ukumbi wa Jk international conference . Kuna rafiki yangu ni dereva taxi alikuwa anaingiza karibia laki 2 kwa wiki, hivi sasa ananiambia hata TZS 50'000 ni kwa shida. Arusha imekwisha ni ya kuonea huruma.
the great god almighty can not side with a CRIMINAL....Ki-ufupi naweza kukubaliana kuwa mtu kama Lema ni mpango wa mungu kwa magumu yote ambayo umekuwa ukiyapitia kiukweli hadi sasa naona umepungua kamanda pole sana kwa majukumu mazito ya kuwatetea wanyonge ipo siku historia itakukumbuka na hakika ushindi wa leo unaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo karibu na wananchi wako kamanda kura ulizopata 56,000 ni halali mbele ya mungu. Arusha somo limeshaeleweka ukombozi uelekee sehemu nyingine pia
Nakubaliana na wewe kwenda kuwakomboa wana Mtwara nakuombea mungu akutie nguvu iwapo itampendeza urudi salama maana Mtwara kwa sasa eneo hatari mno kiusalama lakini tunawatakia hao wenzetu pia wapate ukombozi wa kweli maana hawana mtetezi
Mzee Tupa tupa nakubaliana na wewe kuwa AR magamba hamtakiwi lakini vijana wako waliopewa rungu wanafikiri wanazijua sana siasa na kupewa madaraka makubwa matokeo yake ndo hayo. Naamini mtaliona hilo katika tathmini zenu hapo Lumumba lakini kwa kuwa sikio la kufa halisikii mnaweza kujipa moyo kuwa mmmeshinda na Arusha.
Ogopa sana mtu anayeanza na mungu na kumaliza na mungu................. Giza haliwezi kushindana na nuru.
Kila la kheri makamanda.
Lema mtwara sio Arusha kaka, ile ni nchi nyingine ambayo iko chini ya utawala wa kijeshi na sio polisi. Kile kipigo ulicho pata Cha polisi hawa ma soldiers ni Cha kitoto, wao watakukamua ngama mkuu.
Karibu london
Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
Lema mtwara sio Arusha kaka, ile ni nchi nyingine ambayo iko chini ya utawala wa kijeshi na sio polisi. Kile kipigo ulicho pata Cha polisi hawa ma soldiers ni Cha kitoto, wao watakukamua ngama mkuu.