augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
mikoa ambayo imesha kombolewa ni Arusha,Mbeya na Mwanza nategemea 2015 ccm hawana chao mtwara.
Mtwara ni pwani tofauti na Arusha.
Mkuu! CCM haina chake hapa Mtwara na mikoa ya kusini si ngome tena ya Magamba asilan. Mawazo ulonayo ni yale ya miaka 10 ilopita, na sasa tushamjua mwizi, hatulali na ikibidi tunalala kwa zamu.
usiogope wale jamaa ni marafiki zetu lait kama ungekuja soweto wakati wanalinda wao ungeona kwn wengi wao ni waelewa sio hawa ilimradi uwe mrefu na chagonja umemuona basi unapatakazi
.........yan????c wa huku mbwinde mkuu umetuacha kidogo,tiririkaaaaaaa
Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
napita