mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
mletee, mletee, mletee! msije mkalia lakini
Mkuu Kimbunga,
Safari hii utabiri wa Mwanakijiji umekwenda alijojo...
Alisema Lema atashinda kesi hiyo ya uchaguzi ana 99%99.
Hakasahau kuwa masuala ya sheria hayana uhusiano na utabiri.
wee kilaza kwani dola ni kinanani una akili kama ngumi ya mtotoAcha kauli za kuwatisha watu ww, usicheze na dola na lazima mfuate utawala wa sheria
hakuna damu itamwagika Arusha mkuu..........watu wameelewa na tunasubiri kufanya maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.....safari hii ni kimya kimya......
Huyu ushenzi wake ni upi mkuu? mbona anaonekana ni mstaarabu sana! nampa heshima zangu kwa heshima ya Marehemu Hayati sokoine!
Sheria ya uchaguzi ya mwaka 1985 inasema kuwa kesi ya uchaguzi inaweza kuletwa mahakamani na:a. Mahakama imejuaje kuwa Batilda alidhalilishwa? - Bila kumuuliza yeye wanajuaej kuwa alijisikia kudhalilika. Vipi kama aliona ni ujinga tu wala haikumdhalilisha? Hivi mtu mwingine anaweza kwenda kusema "x ameibiwa" wakati yule ambaye anadaiwa kuibiwa anaona kila kitu chake kipo salama?
b. Imethibitishwa nini kuhusu alichosema Lema ambacho ni cha udhalilishaji? Alisema maneno gani, lini na wapi na ni ushahidi gani kuwa aliyasema hayo? Kwa mfano watu watatu wakija na walikuwepo kwenye mkutano wakasema hawakusikia maneno hayo na watu wengine watatu ambao walikuwepo kwenye mkutano huo wakasema walimsikia mahakama inaamua vipi kuwa hao watu watatu wanaosema walisikia wanasema kweli?
Inawezekana pia kwenye upande wa Lema hawakutilia maanani sana kama angeshindwa kesi hasa kwa sababu haikufunguliwa na Batilda mwenyewe. Yeye na timu yake were over-confident kuwa watashinda kesi, which I don't blame them really. Hata wewe si ulisema una uhakika kuwa Lema atashinda kesi? Lakini kuwa over confident inaweza kusabisha kutowa-scrutinize vizuri mashahidi. Hili ni fundisho kwa wengine. Whether kesi ni ndogo au kubwa kunahitaji umakini mkubwa sana hasa kwenye ushahidi unaotolewa.c. Binafsi kwa kweli sijashtushwa sana na Lema kuvuliwa ubunge - kama kuna ushahidi wa kutosha sidhani kama mahakam ailikuwa na uchaguzi mwingine- kilichonishtua zaidi na kinachonisumbua ni kuwa inaonekana hukumu ilishajulikana mapema zaidi almost a week kabla. Hili ni geni sana kwenye mahakama zetu. What happened?
mi sijayasikia. hivi yanayazidi yale ya lusinde?Kama kweli alisema yale yaliyotajwa mahakamani kuwa alisema....too bad