Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Iwapo kuvuliwa kwa ubunge kwa Lema kutasababisha vurugu nashauri rais ajiuzuru. Vinginevyo ikulu patafuka moshi, watanzania wanaonekana kujawa na jazba na hasira juu ya kile kinachoonekana kuwa ni hila za CCM kwa CHADEMA na mahakama ikiwekwa kati. Ni vema wahusika wakawa makini na hili
Watang'atuka watu wooooote, lakini kamwe mroho wa madaraka, bitozi la Ki-kwe-re kamwe hawezi kujiuzulu, hata nchi nzima ikifa
 
Naona Wazee wa "Kura za Vijijini" Wamerejea Jamvini kwa Nguvu baada ya Kupotezwa 02/04/2012
 
nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa


nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.

inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo


ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.

Ukiwa mwanasisiem utapata hukumu ya hapa duniani na mbinguni.
 
Sisi watu wa pwani kazi yetu kubwa inayotuweka mjini ni KUPARA-MIWA na kuhudhuria hitima bila kusahau ndizi,chachandu na pilipili kwenye kikopo
 
Kama mtoto hajakutendea haki, kwa baba yake utaenda kutafuta nini?

Naomba uchaguzi mdogo, kabla morale haijashuka.
 
Chadema siku wakichukuwa nchi mahakama zote zitakuwa chini ya Chadema...hukumu ipo wazi kweli Lema alikuwa anatoa kauli za kashfa kwenye mikutano yake 8 kati ya 60 aliyofanya.
 
ccm nao wawe na tabia ya kutoingiza siasa kwenye vyombo vya sheria
 
tuna safari ndefu ya kuendelea, kama tunaendekeza chaguzi tu kila siku pasipo kuwaza maendeleo, mahakama zetu zina watu hovyo wasiojali wala kuthamini kodi za wavuja jasho wa Tanzania. wangetoa adhabu nyingine mbadala
 
nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa


nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.

inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo


ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.

mkuu maoni yako yamekaa kama umetumwa na yamejaa unafiki wa aina yake
 
Chadema siku wakichukuwa nchi mahakama zote zitakuwa chini ya Chadema...hukumu ipo wazi kweli Lema alikuwa anatoa kauli za kashfa kwenye mikutano yake 8 kati ya 60 aliyofanya.

kwani sasa mahakama iko chini ya chama gani? Na unategemea kama iko chini ya chama hicho kilichoangukia pua wangetoa uamuzi gani? Afu inaonyesha jibu unalo sema kiburi ndo kinakufanya ujifanye hauelewi
 
nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa


nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.

inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo


ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.
...hatuna muda wa kupoteza ktk hizo mahakama zenu za CCM,mahakama tunayoiami ni UMMA na huko ndo tunaenda kukata rufaa yetu...Nape kabla ya hii hukum ya kishenzi alikuwa ameishasema kabisa mapema kuwa CCM mnajianda kwa uchaguzi kwan mnajua kabisa Lema atashindwa kesi,sasa wewe unakuja na unafiki wako eti unatushauri CDM twende kwenye mahakama ambazo hukumu zake Nape tayari anazo?...tuondole uchafu wako huu,peleka porojo zako kwa-waywa-kahawa wenzako huko vijiweni...
 
Pamoja na ukali wa maisha ya kupiga boksi, nimeamua kumchangia Mheshimiwa Lema $ 300 ili ziweze kumsaidia katika kampeni. Ni matumaini yangu CHADEMA watatumia uchaguzi huu kutuma ujumbe kwa serikali ya hii ya JK ya kuwa haki ya mtu haiwezi kupotea bali yaweza cheleweshwa tuu. Jamani wananchi, tutoe michango kwa Mheshimiwa ili aweze kukimalizia hiki kichwa cha huyu nyoka (CCM).

Kwa wale wanaojua ya kuwa hiyo hela naweza kuituma wapi ningefurahi kama wangeniibox.
 
Siyoi has a super super job that pays him handsomely... Acheni *****

huyu jamaa ni mwanasheria wa stanbic, ugomvi wangu mi ni kwa mtoto wa sokoine kwa nini mnamsema vibaya? pale kwa kweli niagombana na baadhi ya watu hebu we mwenyewe tizama hi pic afu useme ushezi wa huyu binti uko wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom