Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Wasilolijua ni kwamba wanawapa credit CDM kuzidi kuwaelimisha wananchi dhidi ya dhuluma ya CCM
 
nasikia amepigwa marufuku kujiusishana siasa kwa miaka 5
 
Milioni kadhaa tena zinatumika na kupoteza muda na rasilimali
Watu wametoka kwenye kampeni arumeru hawajatulia wanaletwa arusha mjini
Watazalisha muda gani wakati muda wote watu wanakuwa kwenye kampeni
Demokrasia ina gharama ila sio katika kiwango hiki
 
ni kweli lema amevuliwa ubunge na kwa sasa anaelekea makao makuu ngarenaro ila amesema kwamba hatakata rufaa anataka uchaguzi urudiwe na kasema atashinda kama kawa
 
Saa ya ukombozi ndo sasa ni wakati wa chadema kujidhihirisha kwa kumsimamisha tena Brigedia General Godbless Lema(kamanda wa vikosi kazi vya aridhini) hapo arusha mjini na waonyeshe jinsi ccm wanavyotumia mali ya umma vibaya. Nina uhakika hata uchaguzi ukirudiwa mara 10 bado Lema na chadema wataibuka washindi hata kwa kuhonga majaji na wasimamizi wa uchaguzi. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Arusha. Mungu mbariki G. Lema na Chadema kwa ujumla. Ameni.
 
Mahakama kuu kanda ya Arusha imetengua matokeo ya uchaguzi jimbo la Arusha mjini, hivi Godbless Lema kupoteza kiti hicho
source: Sunrise Radio
 
Yote ni sehemu ya demokrasia; litakuwa somo pia kwa watu wengine wakisimama wakati wa kampeni wachunge wanachosema. Ina gharama.


mwanakijiji najua hukutalajia hili kutokea..ushahidi dhidi ya lema ulikiwa hafifu sana....
 
Haina haja ya kukata rufaa, uchaguzi urudiwe na hapa ndipo ccm itaona cha moto imejipalia mkaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom