Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Hapana Shaka Mahakama inataka kupimana ubavu na nguvu ya umma,uhuru utatoka wapi? wakati mahakama yenyewe haiko huru? nakumbuka siku ya sheria duniani jaji aliomba sana wanasiasa waiache mahakama ifanye kazi yake pasipo kuingiliwa sasa nashangaa mahakama yenyewe sasa inafanya siasa,mfumo mbovu wa utawala utawala hapa Tz ndio unapelekea haya jaji anataka kuweka records kwamba kesi yake ilisomwa sana na wanafunzi wa Law kama reference utafanyaje sasa
 
Nimesikiliza Taarifa ya Habari jioni hii nimesikia wananchi wa Arusha wameongea kwa uchungu sana kuna mama kalia sana anamlilia Mungu yani watu kwenye Hice wakasema basi Mungu yupo anajua yote roho ikaniuma sana kiukweli! Namwomba sana Mungu awatie nguvu chadema na hasa Mh.lema na kama haki ipo ipo2 hata wafanye nini!
 
Huu ndo wakati wa Chadema kufanya lile ambalo hulifanya siku zote kuwapa wananchi sera zenye umakini na kuiabisha CCM kuwa CDM si mchezo na kilichotokea 2010 sasa 2012 kitakuwa na ushindi wa kupindukia. Zinduka CCM hawana chao tena.
 
Hakuna haja ya kukata rufaa. Chadema waingie mzigoni kwenye uchaguzi na bila ajizi jimbo litarudi mikononi mwake. Kwa hali ilivyo sasa, hata nikiteuliwa mimi na chadema kugombea ubunge Arusha lazima niingie mjengoni.
 
wananchi wa arusha na maeneo mengine ya tanzania
wapokea taarifa za hukumu ya kesi ilikuwa inamkabili mhemishiwa lema
kwa hisia kali. Wengine wamekuwa wakijiuliza je mahakama zetu bado zipo
huru? Mwana jf una maoni gani? Uwanja ni wetu.....
arusha ni kiini cha mabadiliko, watamtoa lema lakini sio chadema, na uchaguzi ukiitishwa chadema tutaweka 'jiwe' wao waweke mtu na tutasinda! Nguvu ya uma ndo mahakama ya wanyonge!
 
always the winner will still be the winner....haki ya mtu haizuiliki bali ucheleweshwa....kamanda lema furahi kuwa kupitia kwako watanzania tutakombolewa....tazana jinsi kahakama zitakavyodharauliwa na kujulikana kabisa kuwa zinatumika na wenye nazo kuwakandamiza wanyonge....ukombozi wa kweli hauji kirahisi bali pana watu watatolewa,watajitoa sadaka sina shaka na ujasili wako na mapenzi yako kwa hii nchi...ur the icon of revolution bra....
 
Watanzania wamepoteza imani na mahakama na jeshi la polisi. Hii inamaanisha hakuna utawala wa sheria bali ni utawala wa kiimla wa aina yake.
 
Mara baada ya kuwa mbunge Mh Lema amekumbana na misukosuko ya hali ya juu kiasi kila binadamu mwenye utu alikuwa anamuonea huruma! Lema amepigwa sana na askari, amewekwa ndani,mara zote amekuwa anawindwa ili auwawe na sasa kavuliwa ubunge!

Ikiwa kama kifungu alichohukumiwa nacho ni cha 114 tafsiri yake anazuiwa kujihusisha na mambo ya siasa kwa kipindi kisichopungua miaka 5.

Sababu ya yote haya ni yeye kudai haki ya wananchi wake! Alisimama kidete kuupinga utaratibu uliotumika kumpata meya wa jiji la arusha sababu iliyopelekea maauaji ya raia watatu hivyo kupelea kuchukiwa na rais, waziri mkuu na spika wa bunge (yeye mwenyewe amedai hivyo) Inasikitisha sana!

Inapotokea binadamu wa kawaida ukafanyiwa hivi!! unafanya nini sasa???

Makundi hatari ya kigaidi kama Alqaeda, Alshabab na hamas yalianza kwa mtindo kama huu aliofanyiwa Lema! mwenyewe nimeshuhudia watu kadhaa wakitoa machozi pale walipopata taarifa kuwa Mh Lema kavuliwa ubunge!! sijui wanachofikiria kwa sasa masikini.

Kaza moyo Bro. Lema kwani Umeshinda!! Yesu wa nazareti alifanyiwa madhila zaidi ya hayo! lakini leo duniani kote ni Kwa jina lake!

God bless our lovely mp: Lema

Viva Lema, Viva Cdm Aluta continua!
 
katika siku ambazo siasa imenitoa chozi ni leo ....ahh CCM CCM :nono:

Tupo pamoja ila si katika kulia bali kujikuta sasa hivi nikipata hamasa ya kuichangia CDM kila mwezi mpaka 2015 kwani najua wanapambana na Giant, CCM+Polisi+Mahakama na huenda hata huko mbeleni JWTZ ikatumika. Hii si sahihi katika kuleta demokrasia ya kweli. Ukweli kabisa mimi si muumini wa CDM ila ni muumini wa mabadiliko na ninajua kuwa mabadiliko hayo kwa sasa hayawezi patikana toka CCM bali chama mbadala.

Ninatamani sana kuipata nakala ya hukumu hapa ili tuichambue maana hii hukumu ni unprecedented. Ila ninaona hukumu hii ni big step towards CDM kukubalika nchi nzima maana sasa hivi adui wote wa watanzania wanaonekana kujikusanya, yaani polisi, mahakama na viongozi wala rushwa waliopo CCM. CDM ikicheza vizuri hii hukumu ni positive kwao hata kama uchaguzi wa marudio watachakachuliwa.

Mahakama zetu si huru na Tanzania hakuna utawala wa sheria. Hii hukumu (inayosemekana imeandikwa na Dr Masumbuko Lamwai) itafanya watu wengi kujiunga na CDM na kuipatia umaarufu kama kipindi kile walipomfukuza Zitto bungeni.
 
Hakika nasikitika kukuambia kwamba lengo la chama kuhusiana na mbunge lema limeshindwa kutimia baada ya chadema kukataa kukata rufaa kwani tulitegemea akikata rufaa ianzwe kuahirishwa mpaka 2015 huku Arusha mjini kusiwe na mbunge. Haya ni mazungumzo ya mtu mwenye wadhifa ndani ya ccm anadai kwani kitendo cha kurudiwa uchaguzi hawawezi kushinda kamwe
 
Napenda kuwapongeza viongozi wa Chadema, kwa uamuzi wa kuamua kutokukata rufaa, ili kiongozi wetu asiwe mbunge wa rufaa. Big up Mh. Lema, tupe a/c tuweze kuchangia pesa waliokuambia ulipe fasta. Peoples... Power... Source: BBC
 
Asante CCM kwa kuwa mnakijenga chama chetu bila kujua,twasubiri kwa hamu uchaguzi mwingine
ili tuwamwage tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom