Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa CDM inakata rufaa dhidi ya hukumu kwani kifungu alichosoma Judge kinamzuia Lema kugombea kwa miaka mingine mitano,nikirpoti kutoka Arusha mjini ni mimi mgeni wenu wa JF

Acha uongo hakuna rufaa inayokatwa
 
strategy iliyopo BAADA YA KUMVUA UBUNGE MH GODBLESS LEMA ANA ONE OPTION NI KUKATA RUFAAA ILI AJISAFISHE NA KOSA LA JINAI LILILOMTIA HATIANI NA AKIFANYA HIVYO CCM +DOLA ITAHAKIKISHA RUFAAA INAPIGWA DANA DANA MPAKA MWAKA 2014 MWISHONI BAADA YA HAPO HUKUMU YA RUFAAA ITATOLEWA KWAMBA GODBLESS LEMA ATAENDELEA KUTUMIKIA HUKUMU YA MWANZO WAKATI HUKUMU IKITOLEWA ITAKUA NI ALMOST MIEZI KADHA IMEBAKI ILI UCHAGUZI MKUU UFANYIKE.
PILI ASIPOKATA RUFAA SASAHIVI GODBLESS LEMA ATAKUA AMEPOTEZA SIFA ZA KUGOMBEA TENA UBUNGE KWASABABU KOSA LILILOMTIA HATIANI NI LA JINAI HIVYO HATAKUWA NA SIFA YA KUGOMBEA TENA NA IKITOKEA GODBLESS LEMA AKARUHUSIWA KUGOMBEA BASI SIKKU YA KUTANGAZWA MSHINDI ATATANGAZWA AMESHGINDWA KWA KURA ZISIZOZIDI 400 ILI AENDE MAHAKAMANI TENA KUDAI UBUNGE WAKE IT IS A LONG TERM STRATEGY SI JAMBO LAKUKURUPUKA MH GODBLESS LEMA AMESHIKWA MAHALA PABAYA KUCHOMOKA KWAKE ITATEGEMEA NA HURUMA YA CHAMA CHA MAPINDUZI ,LAKINI KWAKUA GODBLESS LEMA AMEKUWA NI KIINI CHA VURUGU ARUSHA MPAKA BUNGENI JAMBO HILI ATA WAWEKEZAJI WANATAKA LIFANIKIWE MAPEMA SANA
 
kama arumeru damu haikumwagika kwa hli itamwagika.. SISIEMU hawatakubali kulipoteza jimbo na Peoplez' Power hatuachii..
 
Muda ukifika umefika hata mfanyaje ni kwamba nguvu ya UMMA ndo imeshashika kasi. Kumbukeni nini kimefanika Arumeru Mashariki. Na mnazidi kujiweka pabaya 2015, hivi nini hasa mnang'ang'ania? Kwani mmeongoza miaka yote hiyo bila hamjaridhika? Haya endeleeni kuchimba makaburi ya kujizikia wenyewe
 
Hapa inakuwaje tena Lema alipie gharama za uchaguzi au ndo lengo la kumuua kiuchumi aonekane hana fedha za maendeleo jimbonj wanajua bado ni mbunge
 
Kuna thread kule jukwaa la siasa inaelezea mkanganyiko wa vifungu alivyotumia judge. Alichotamka sicho kilichoandikwa!

Nimeipenda hiyo lakini ungevitaja hivyo vifungu ingetupa uzito zaid.
 
Napenda kuwapongeza viongozi wa Chadema, kwa uamuzi wa kuamua kutokukata rufaa, ili kiongozi wetu asiwe mbunge wa rufaa. Big up Mh. Lema, tupe a/c tuweze kuchangia pesa waliokuambia ulipe fasta. Peoples... Power... Source: BBC

sio uchanguzi ni uchaguzi!hujambo mtanga?
 
Ama kweli tuna hela mpaka tumekosa pakuzipeleka,za kampeni zinatoka wapi na zitatumika millions of money wakati wengine wanakufa njaa,ajira hakuna kisa serikali haina hela za kuajiri na matatizo mengine kibao.

Juzi Arumeru wametumia hela kibao kwa kungangana kushindana na nguvu ya uma wakaishia kuumbuka leo tena!! Endeleeni kupoteza muda hopefully our freedom will come tomorrow.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom