Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
"CCM wanaruka sarakasi na taulo" by dmayola(Jf member)
hahahaaa...
Mchambuzi unatufaa hata kule jf jukwaa jokes kupunguza stress!
Hahahahaha!
"CCM wanaruka sarakasi na taulo" by dmayola(Jf member)
moderators, hii kweli inakubalika humu??? Duh!
Unless kuna linginge limejificha aliyewashauri CCM watumie hii strategy watakuwa walikosea ile mbaya. Kwa sababu sasa itawageukia na kuwa double blow kwao. Yaani ningependa sana kujua ni nani hasa aliwashauri CCM kutumia hii ill advised strategy.
Du!mkuu hapo sipati picha ya matokeo yake"CCM wanaruka sarakasi na taulo" by dmayola(Jf member)
Mkuu CCM walishauriwa na Mungu, kuna namna nyingi Mungu anazozitumia kuwasaidia binadamu kuziondowa tawala dhalimu hasa akiona binadamu wenyewe wamelala basi Mungu anachokifanya uinyima maono Serikali husika mpaka kipofu hufikia wakati naye anaona kwamba hili siyo sawasawa.Unless kuna linginge limejificha aliyewashauri CCM watumie hii strategy watakuwa walikosea ile mbaya. Kwa sababu sasa itawageukia na kuwa double blow kwao. Yaani ningependa sana kujua ni nani hasa aliwashauri CCM kutumia hii ill advised strategy.
Really!
Lakini ukiona taabu zinazidi ujue ukombozi uko around the corner!
Mkuu CCM walishauriwa na Mungu, kuna namna nyingi Mungu anazozitumia kuwasaidia binadamu kuziondowa tawala dhalimu hasa akiona binadamu wenyewe wamelala basi Mungu anachokifanya uinyima maono Serikali husika mpaka kipofu hufikia wakati naye anaona kwamba hili siyo sawasawa.
Mi nilidhani akate rufaaa kwani:
Ila sema kwa huyu jaji mganda nadhani akikata rufaa tena atatafutwa mganda aje amkandamize. Basi kutokana na igezo hapo juu, hakuna cha kukata rufaa bali uchaguzi urudiwe!
- Hao hao CCM wanaweza kumgeuzia kibao baadaye kuwa anamakosa hatakiwi kugombea (sijui sheria inasemaje?
- Kwa sababu asipokata rufaa atakuwa amekubali kuwa alitukana
Lema kata rufaa kwa wananchi, tutakuchagua.
Hapana, Lema asikate rufaa mahakamani bali kwa wananchi!
CCM haiwezi kwa vyovyote kushnda arusha mjini!
Tukisema akate rufaa still akishnda atakuwa mbunge,lakini tukirud kwenye uchaguzi itakuwa fundisho kwa magamba kuibua kesi za kijinga na mahakama kutumika kisiasa.