Kuna tetesi wanataka kumweka kinana
Ccm hata ikisimamisha jiwe itashinda Lema hajafanya chochote tangu awe mbunge zaidi ya sifa za kijinga za kukataa dhamana na kupelekwa mahabusu!
Mkonogani huo unao ambukiza taifa kipindupindu?Chadema msijazane ujinga bana ,bwana Lema ameona asikate rufaaa kwasababu anauhakika ashapoteza hivyo na kweli alifanya upuuzi kutoa lugha chafu, ,mbunge gani anafujo namna hiyo na kuutukana mkono uliomlisha toka akiwa mdogo, sasa kakua anajikuta na yeye anamabavu ya kuleta fujo na matusi sasa imemcost...
Tafadhali unapotaja Malaika utaje malaka wa giza kwa kua hao tuu ndio SiSIEMU wanashabihiana nao. Magamba watu wa nguvu za giza you know!!Ninachomuombea Lema ni afya njema na maisha marefu...Ubunge wa Arusha mjini ni wake hata kama CCM watasimamisha malaika...!
mkuu tatizo la CCM ilikuwa sio jimbo, tatizo ni mtu wao watakayemtumia, either awe CDM au chama kingine chochote, Lema hanunuliki mkuu, arusha kuna mengi yamejificha.ccm wamepiga mahesabu vibaya,hawakufikiria gharama za kushinda jimbo la Arusha,kwa kweli ni hasara kubwa sana kwa kuwa watashindwa vibaya kwenye uchaguzi na gharama yake itakuwa kubwa zaidi kwa chama,yetu macho
Lema kavulia ubunge rasmi...
Hii ni taarifa rasmi toka hapa mahakamani!
CCM hawatafuta pingamizi lolote tu......na tume ya uchaguzi tunajua imelalia upande gani
Je Mwansheria Mkuu akikata rufaa? Huenda hii ngoma bado mbichi.