Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Chadema msijazane ujinga bana ,bwana Lema ameona asikate rufaaa kwasababu anauhakika ashapoteza hivyo na kweli alifanya upuuzi kutoa lugha chafu, ,mbunge gani anafujo namna hiyo na kuutukana mkono uliomlisha toka akiwa mdogo, sasa kakua anajikuta na yeye anamabavu ya kuleta fujo na matusi sasa imemcost...

Chivalrous,

Acha ujinga wewe.
Hayo matusi ya Mhe. Lema kama kweli yapo yanazidi yale yaliyokuwa yakiporomoshwa na Mbunge Kihiyo wa Mtera Bwana Livingstone Lusinde kule Arumeru Mash pamoja na wajinga wenzake kina Mwigulu Mchembe,Waziri wa Usingizi-Wassira na Fisadi Mkuu Bwana Mkapa???.

Basi tunataka Livingstone na Wassira nao Mahakama ziwavue Ubunge maana wameenda kuporomosha matusi tena kwenye jimbo lisilo la kwao!!! CCM,Polisi,Mahakama na UWT wanafikiri kuwa wanaweza kucheza na akili za Wadanganyika kama wapendavyo! CCM days are NUMBERED,wafanye wafanyavyo siku zao zinahesabika.

Pambaf zao.
 
chadema mungu awape nini?
mungu akitaka kumwaibisha mnafiki anaweza kumtumia mtu yeyote,sasa naona anataka kuiua ccm kwa mgongo wa chadema.
naombauongozi wa juu cdm waanzishe harambee nchi nzimz kwa ajili ya uchaguzi mdogo arusha mjini watanzania tupo tayari kuchangia.
kwa kuanzia nina laki moja kwa ajili ya kampeni.
 
chadema ifungue kesi dhidi ya Lusinde kwa grounds hizohizo!
 
Ofcourse inajulikana kuwa pia kwa kupitia utengauji wa ubunge wa Arusha Mjini, wanataka kuweka precedence kwa ajili ya majimbo mengine. They should now, Watanzania are closely watching the move...let the justice seen to be done. That is all
 
Idadi ya Wabunge wa CDM ni ile ile, ondoa Lema ingiza Nasari! Naamini hukumu hii ilikuwa tayari kabla ya kujua kwamba CDM haijapoteza kitu kwa kumwingiza Nasari ndani... yetu macho!
 
January Makamba.
Wana ccm tumefurahi kuwa uchaguzi wa Arusha utarudiwa....tulijua sisi wanaccm kuwa Lema atashindwa...tumefanya utafiti mitaani na kuona kuwa kesi kwa Bwana Lema angeshindwa..
 
Arusha ni jimbo la chadema tu hata wafanye fitina kiasi gani.Pole Lema ila tupo pamoja na tutashinda tu.
 
Jaji Gabriel Rwakibarila siwezi kuamini umeuza utu wako,taalumu yako kisa Pesa!

Kumbuka Haki haidhulumiwi bali inachelewesha, Damu yeyote itakayomwagika Arusha..itakuwa ya mikono yako!

Kumbuka malipo ni hapa hapa duniani...,leo cheka na mafisadi na hao hao ndio watakaokumaliza, GODBLESS LEMA uliyemdhulumu haki yake ndiye atayekutetea samba samba na mwenzako MAGESSA MULONGO


Msimlaumu sana Jaji Gabriel Rwakibarila, walaumuni magogoni na wazee wa IMMA!
 
lema kamanda wangu usiogope kwa hukumu hiyo,hilo jimbo kamwe haliwezi kuenda kwa magamba mana salamu wamezipata toka arumeru mashariki.
 
Sina imani na mahakama zetu kama zinahukumu kwa haki. Lakini tuna imani Mungu atatenda haki na kulipiza kisasi.
 
jamani aibu ya pili ccm inaenda kuipata Arusha,lema ni Mbunge tu.waamuzi ni watu na wao ndio wanaochagua kiongozi wao wanaomtaka kitaeleweka tu mwisho wa siku.haki ya mtu haipotei.Mungu atakusaidia lema utarudi tena kwa kishindo kwa kweli nakidharau sana chama cha ccm baada ya kujipanga inapoteza point 3 muhimu.kwa kweli ccm inaitangaza sana chadema sasa hv hata wazee ni chadema wanamacho wanaona chama tawala na mambo yake ya kubomoa nchi yetu yenye amani.
 
This is ridiculous judgement baada ya ile ya case ya Mtikila 2,
mahakama imejiingiza kwenye siasa.
Sasa tunapiga kura za hasira njema.

Bwana huyu aimedhalilisha na kuinyanyapaa miaka yote aliyokuna kichwa class kuitafuata taaluma yake, wametumia nguvu ya siasa nasi tutatumia nguvu ya umma Arusha ni ngome kuu ya CHADEMA wataaibika mchana wa jua kali, si wamezoea kuzomea safari hii miti itawazomea. Tunawasubiri ndani siku 90 walete tena mavuvuzela ya CCM kwenye kampeni.
 
hakika mafisadi wanajikaanga wenyewe kwa mafuta yao yaani kama Pweza vile, yaani uwezo wao wa kufikiri umefikia ukomo, Mpiganaji Mh Lema usife moyo hili jimbo ni letu hata bila kampeni.

but kiukweli tumepewa wasaa mzuri mwingine wa kukiimarisha chama.

PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom