Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,958
- 306
Lema akiongea na radio one.."nimepigikiwa simu tangu jana kuhusu uamuzi huu...na hata H.Mdee amenitaarifu mapema asubuhi kuwa amepata habari kwa mtu nyeti kuwa nimeshindwa kesi...polisi wamezingira ofisi ya mbunge alfajiri na hata mahakamani kabla ya uamuzi hii inaonyesha ilishapangwa...makamba aliongea na mtu wa ccm kumtaarifu ajiandae kwa kura za maoni....hata wakirudia uchaguzi bado nitashinda...nasubiri tamko la chama ndio niwajuze wananchi nini cha kufanya".