ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Hiyo kazi iliyobaki kwa ccm,imepoteza kuaminiwa na umma inatumia mahakama. Tutaigharagaza vibaya sana ARUSHA.
ashikishwe mara mbili??mwenzio anatafuta market na wwewe unataka kunasa hako kagonjwa atuna jf mwambie atafute kwingineusiwe unaongea kama punga wewe!!!... Au unabwabwaja tu kama umeshikishwa ukuta...
Ndo nimetoka kwenye mkutano wa taarifa fupi ofisi za Chadema na Nassari amesema Lema atagombea tena na wana Arusha tunaahidi kushinda kwa kishindo kumbakiza Lema kwenye nafasi yakewakimkataza LEMA asigombee tunamweka DR SLAA.
Kumbuka malipo ni hapa hapa duniani...,leo cheka na mafisadi na hao hao ndio watakaokumaliza, GODBLESS LEMA uliyemdhulumu haki yake ndiye atayekutetea samba samba na mwenzako MAGESSA MULONGO
MMhm! Toka lini mambo haya? Ama ni ulevi tu?