Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Katika blander nchi hii ambazo hatuta zisahau ni kumruhusu kikwete kuwa rais yaani tuna puto pale ikulu!
 
Kama ushahidi ulijitosheleza mi sioni cha kulalamika hapa? CDM wajipange na waanze kuchunga midomo yao wanapokua kwenye kampeni. Na nyie kama wanajua kunawabunge wa CCM walitumia matusi kwenye kampeni wakafungue kesi ili twende sawa
 
Kama mahakama imeamua hivyo, hatuwezi kubishana nao. Kwasababu si mahakama iliyompatie ubunge Kamanda Lema. Wananchi wa Arusha kwa wingi wao wataamua tena ni nani wanamtaka awe mbunge wao maana wao ndo wanaopiga kura kuamua.
 
What a Waste of Taxpayers Money and Time.., Sasa watu wa Arusha wanakosa Mbunge wa Kuwatetea na badala ya kusolve issues tunarudi kwenye michakato damn ili ku-save time inabidi uchaguzi urudiwe as soon as possible bila kupoteza muda na pesa kwenye campaigns...

This Country....!!!! No Wonder Hatuendelei
 
Ina maana Batilda ataacha ofisi aliyopewa huko Nairobi kuja kugombea tena??
 
mmmmmh,my worry ni bilions ngapi tena ambazo ni kodi zetu zitatumika kuitisha tena uchaguzi mdogo??ina mana ss kila siku tutakuwa tunafanya chaguziituuuuuuu maendeleo lini??aaah!!nimekasirika sana..
 
hii ilikuwa inaeleweka tangu wiki iliyopita. Nusa nusa waliochoka na magamba walitujulisha sie wengine kuwa uamuzi umeshaandaliwa na kwa Arusha wanaapa kuwa watamwaga damu ili kukomboa jimbo lirudi magamba. An uphill; battle for CDM to fight back through the ballot box. Na wale vibaraka walioenguliwa na CDM madiwani wale ndo watakaotumika katiika kampeni zao. BUT chama cha watu bwana achana nacho kabisa nguvu ya umma haina mpinzani hapa A town.
 
popularity ya cdm inaongezeka sasa hivi|! good job hakim kwa kutusaidia! Lema is the best and he will re-win!
 
na livingstone lusinde avuliwe pia,wangapi wa CCM wanafanya makosa hawafanywi kitu?CCM wanalifahamu hilo kwamba arusha haiwataki,hata kama CDM ikisimamisha punda na CCM waweke mtu,punda wa CDM atapita. . . . .nasikia pia amezuiwa kufanya siasa kwa muda wa miaka mi5,je kuna ukweli wowote kuhusu hilo?
 
KWA MARA YA KWANZA JF LEO WATU WANAINGIA NA PASSWORD...HAHAHAHAHA.....Kazi kweli kweli....Na badooooo!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom