ABRAHAM LINCOLN
Member
- Dec 23, 2011
- 28
- 10
Sio mbunge tena jamani
Pole sana wana Chadema jipangeni na uchaguzi mpya...siasa zina matamu yake na machungu yake.
washenzi hawa wamepanga kutokuitisha uchaguzi mwingine mpaka 2015 jimbo litakaa wazi kama kwa wale madiwani lakini moto wake watauona tu
Lema amepigwa chini. Reasoning ya jaji inaonyesha alihongwa. The way forward ni kwenda Court of Appeal. Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali
CCM inatumia mahakama kuhujumu upinzani na hii ni hatari kwa mustakabali wa nchi!!
Poleni chadema