Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Tutaendelea Kuwashika, Sasa ni Ushindi wa Kishindo.. Ndiyo maana nikasema UWT, JWTZ, Serikali, NEC lao moja tu..

Tutawaondoa kwa nguvu ya umma, mpaka watukubalikama Nasari....
 
CCM Bana sijui wamelogwa? Yani hamna anayetumiaga Akili hata mmoja..


Nadhani CHADEMA Safari hii wala wasipige kampeni... ni kuweka strategy za kulinda kura tu!

"Mkeo huna haja ya kumchungulia Bafuni"
 
:shut-mouth: ni mapema sana kujadili hili swala nikiona nakala ya hukumu nitaweza kujadili let us wait
 
Haina kwere, sisi ni Barcelona wao Yanga! Sipati picha hiyo replay! Waona rangi zote. Piiiipoooz........!.
 
CCM hawatafuta pingamizi lolote tu......na tume ya uchaguzi tunajua imelalia upande gani
Kama ni kweli haki imetendeka mi sina shida, ila kama ni mchezo mchafu itakua Ngumu Lema kurudi maana lazima huu mchakato una plan A, B and C kwa hiyo CDM wajipange nao kua na plan A , B na C la sivyo itabki kua historia tu
 
Hivi CCM walisubiri Matokeo ya Arumeru ili kuamua matokeo ya Arusha Mjini?
 
Kweli magamba wanaendelea kujipika wenyewe na mafuta yao. Hatutawachagua na tunawasubiria kwa hamu kweli
 
Naona kifo cha nyanu miti tote hutereza. Haya magamba sasa yatafuta kufa kifo cha mende. Pamoja na makovu ya Arumeru sas watayatonesha arusha na kuwa vidonda vya kudumu. hata Rema asipo appeal labda akiwekewa pingamizi. Lakini hata Akiingia Kikwete akashindishwa na machinga. Peopleees power.
 
Mtu akishindwa uchaguzi kaibiwa kura, mtu akishindwa mahakamani Judge kahongwa. Jipangeni upya,acheni longo longo.
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"][/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"]Send to a friend
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Thursday, 05 April 2012 10:56
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha imetengua matokeo ya ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini hivyo kumvua ubunge Godbless Lema wa Chadema. Taarifa zaidi soma gazeti la Mwananchi kesho
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

What? amevuliwa ubunge au yuko nje kwa dhamana? si alikuwa gerezani?
 
Pamela Sioi ndo atagombea kiti cha CCm arusha teh teh teh teh teh afu tuone nchi ya Lowassa au ya Mungu
 
hata mimi naunga mkono hoja ya kutokata rufaa,tusubiri uchaguzi
 
Uchaguzi utarudiwa na ccm watashindwa tena vibaya sn na hapa watajishusha credibility wenyewe mbele ya watz.
 
Nadhani sheria imechukuwa mkondo wake, Jaji wa kwanza Lema alimkataa alikuwa hana imani nae Jaji wa pili katenda haki.

Lema ni Mbunge hadi atakapoapishwa tena kwa mara ya pili... Tunataka uchaguzi ufanyike wiki ijayo
 
Duh....Kudadaadeki! tena saa hizi matusi yatakuwa ya kisekondari si ya darasa la saba tena
 
Wakuu,
Hii ndio gharama ya demokrasia. Tusianze kujifanya eti tuna uchungu sana na hela ya walipa kodi itakayotumika tena kwenye uchaguzi mdogo. Hatuwezi kupindisha sheria (Kama kweli haki imetendeka) eti kwa sababu ya kuogopa gharama ya uchaguzi. Ni sisi hawahawa juzi tulimshambulia Mtatiro na pendekezo lake la chama kilichopoteza mbunge kuteua tu mtu wa kumrithi, kwasababu ya kuepuka gharama. Leo ghafla tumeliona hilo la gharama?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom