DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Au hapa kazi tuDuh kazi ipo hapa
Au hapa kazi tuDuh kazi ipo hapa
Uùh
Majibu ya hivi anayejua ataelewa halo unayoipitia.Kama ipo ipo tu..tusitishane
Na hutoweza kuelewa. Yani nije kusearch JFSijaelewa hii you are welcome. How, are you searching?


Nawewe unaamini hili la umri???
Usinifanyie hivo,, mi najiona bado bwana😢Wewe menopause ishakufikia bila shaka.
Yaani hawa wanaume wa JF wanadhani kila mwanamke humu kaja kutafuta mpenzi au mume, ona wanavyojihami. SMHNa hutoweza kuelewa. Yani nije kusearch JF![]()
Hili swali halina Adabu kabisa. Mm mtu akiniuliza hivi na simu nakata. Akinipigia namuuliza yeye namba yangu katoa wapi





Wanaume bwana.Unatishwa na kivuli chako..![]()
Ushaolewa?Kwani 30 imefanyaje????![]()
Hujajibu swaliUshaolewa?
I'm 23yrs old