daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,342
- 3,229
Kuna mmoja nilipata namba yake badoo nilipompigia akaniuliza hilo swali..
Sasa kuwa Airport kwenda Mwanza inahusiana nini na kutafuta pesa?
Kwahiyo mtu akishakuwa Airport tu anaenda Mwanza basi tuhitimishe kuwa anatafuta pesa?



Smart girl.Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Nataka kichwa chako kifahamu kuwa si kila anayechat humu muda wa kazi basi yupo tu iddle. Am telling you to think out of the box but you don't think about the box at all. Only God can save you.Sasa kuwa Airport kwenda Mwanza inahusiana nini na kutafuta pesa?
Kwahiyo mtu akishakuwa Airport tu anaenda Mwanza basi tuhitimishe kuwa anatafuta pesa?
Namba nyingine ni za connections...Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?
Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
HHaha kwa mabaharia sawa mkuu... Ila kina Hawa changamoto ipo.
Ndio mada inavyojieleza lakini. Ungeongezea nyama hizo unazotaka tuzione. Yani uweke mambo ya namba afu tudhani unazungumzia mambo mengine. HaiwezekaniWewe na wenzio msigeuze mada ni kuwa ni issue ya namba![]()







Nataka kichwa chako kifahamu kuwa si kila anayechat humu muda wa kazi basi yupo tu iddle. Am telling you to think out of the box but you don't think about the box at all. Only God can save you.
And if you didn't know kilichonileta huku ni pesa pia.
Don't reply this, please.
Ndiyo useme connection ganiNamba nyingine ni za connections...
Siyo wote waelewa hivyo... Hapo utakuta unatengeneza chain ya ugomviNdiyo useme connection gani
Si ndio hapo sasa. Tuache kutumia muda wetu vizuri kujenga familia yetu, tuanze kushindana.Nautoa wapi sasa huo muda wa kushindana na wewe?
Asantee babyOohh haya kongole zako wewe uliyeielewa
Kwako wewe vina msingi ndio maana ukavitilia maanani. Probably upo single and searching.Sasa naona unataka nijitetee utafikiri kuna viboko!
Hivi kuna mtu anaweza akajilazimisha kuweka vitu visivyo vya msingi kichwani mwake?