Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,632
🤣🤣🤣🤣🤣 leo tunawatisha sio, tunawasubiri love connect kule na ID zenu mpyaMsitutishe![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 leo tunawatisha sio, tunawasubiri love connect kule na ID zenu mpyaMsitutishe![]()
Mnaturingia humu wakati mkituona barabarani mnatamani tuwatongozeMsitutishe![]()
Mpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.Mwanamke anayeuliza such stupid and unreasonable qn ni mpuuzi maana kwa kiasi kikubwa huwa lazima udanganywe tu.
Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?Uzee haubishi hodii..
Mi huwa naingia na gia ya kumtafuta mtu nilishapewa namba na washkj zangu swali ilo nililipangua vyema ila msichana anakua na wasiwasi bado ila nilifanikiwa,maana walinipa kwa lengo ka kuwapima ao wasichanaMwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Ndio uwe tayari kusem ulipopata. Kwani kuna ugumu gani. Namba angu sijaibandikia matangazo leo nipokee tu simu mtu anauliza salam zisizo isha like mambo, vipi, shwari, mzima hufiki kwenye lengo then nisiulize namba yangu umetoa wapi. Nitakua punguaniKadri siku zinavyozidi kwenda mbele namba ya simu sio ishu tena.
Yaani mtu anaweza kupata namba yako ya simu muda wowote atakaoitaka.
Nakuwa nayo ya nini? Si ya kuwasiliana na watu wangu wa karibu na wale wanaonijua? Sasa wewe usiye mtu wangu wa karibu wala usiyenijua naachaje kukuuliza umetoa wapi namba yangu? Kwanini huwa hamuwezi kujibu hilo swali?Kwani namba unakuwa nayo yanini?
Sasa mimi nitajuaje anataka nini kwangu? Watu wengi nisiowajua wananitafuta kwa sababu mbali mbali sasa kwanini nisiwaulize namba yangu wameitoa wapi?Wadada msipende kuuliza hilo swali bana,kwani mtu mpaka kapata namba yako weye hujui nn anataka/tafta kwako??



Wanateseka eti![]()
Am 43 na bado nauliza.Walah ukifikisha 35 huwezi uliza ati umepata wapi namba yangu, otherwise uwe kwenye ndoa!
mtachina![]()
![]()
Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?