Girls born in 1990

Girls born in 1990

We jamaa Mungu akurehem. Namuonea huruma huyo unaesema ni mkeo. I can imagine changamoto anazopitia. Kwako wewe mke mwema ni mwenye bikra.


muonee huruma Mshikaji wako uliyemgeuza mbwa kula makombo.

Unajua sifa za Mke mwema Mkuu??
 
Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?
Mashabiki wanateseka walengwa hawana habari
 
We jamaa Mungu akurehem. Namuonea huruma huyo unaesema ni mkeo. I can imagine changamoto anazopitia. Kwako wewe mke mwema ni mwenye bikra.


muonee huruma Mshikaji wako uliyemgeuza mbwa kula makombo.

Unajua sifa za Mke mwema Mkuu??
 
Ni kwende wapi. Nipo hapa hapa. Ubaya wa roho chafu hakuna pa kuiosha hata tukutumbukize baharini utatoka na roho yako nyeusi.

Roho mbaya ni kumpa mwenzako makombo wakati chakula kilikuwa fresh kutoka jikoni.

Walahi mimi huwezi nilisha uchafu. Kwanza ukivua tuu lazima nihisi kichefu chefu
 
Hao marafiki wanaowapa namba huo unakuwa ni wasi wasi wao tu mbona huwa hata hatumind? Tutamind endapo pale mwanaume umepiga kwa mara ya kwanza halafu unaongea maneno ya ajabu ajabu au unatongoza siku hiyo hiyo na kuomba mzigo siku hiyo hiyo hapo ndiyo lazima tuwatafute waliowapa namba zetu na tuwaulize kwanini wamefanya hivyo

Lakini kama mtu umekuja kistaarabu haujaongea upuuzi au labda umeomba kiungwana tu tukutane sehemu tuongee vizuri sidhani kama tutachukia tena kama tukiona tumepata wanaume wanaojielewa tunaweza hata kuwashukuru hao marafiki zetu waliogawa hizo namba sasa unakuta mwanaume unataka tu kupiga na kusepa au unataka kumfanya dada wa watu mchepuko eti na wewe hautaki kuulizwa namba umetoa wapi khaa
We ajuza unaandika sana banah. Comment ziwe fupi fupi.
 
Hivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
Halafu mama michango yako mingi unaonekana mkorofimkorofi.Ngumi unaziweza kweli,!!??Au mbwembwe za kwenye keyboard
 
Mpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.
Mkuu nimependa miguu kwenye avatar yako.
 
Hivi umekielewa ulichokiandika kwenye comment iliyopita na comment hii? Hauoni kama unajicontradict mwenyewe? Mwanzo umesema mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume

Kwamba eti mwanamke ndiyo anatakiwa atunze bikira na mwanaume hana bikira hivyo umemaanisha siyo lazima ajitunze sasa hivi unasema eti haujasema kuwa mwanaume afanye zinaa kwamba eti mwanamke akijitunza na mwanaume naye atajitunza

Kwahiyo umerudi pale pale nilipokuwa naongelea mimi na umekubali kwamba na mwanaume naye anatakiwa ajitunze hivyo wote wanaume na wanawake wanatakiwa wajitunze si ndiyo? Mbona tutaelewana tu haya maandiko hayakuwekwa kwa ajili ya wanawake tu shauri zenu

Jifanyeni mnajua kutunisha misuli hadi kwa aliyewaumba eti kisa ninyi ni wanaume na tukiwaambia ukweli mnasema wanawake tunataka usawa au ushindani na ninyi sasa mimi nimeona twende kimaandiko zaidi ili tuone huo usawa au ushindani nauleta mimi au maandiko na ili ukibisha usinibishie mimi bali umbishie Mungu!
Mkuu mimi sijasema wanaume wafanye zinaa. Bali nasisitiza na kuhamasisha vijana wasioe Wanawake wasio na bikra.

Nafurahi kwa kuwa Kampeni hii inasambaa kwa kasi kubwa. Vijana wengi sasa wanauelewa na elimu ya umuhimu wa bikra.

Ingawa pia ninawaoneaga huruma nyie dada zangu kwa kuwa kuna kuteleza lakini ni lazima kampeni hii ilete athari kubwa kwenye akili za vijana.

Nafurahi hili linaenda sambamba Masingle Mother japo mimi huko sipo sana kutokana na huruma niliyonayo kwa watoto.

Suala la biblia au Qurani hilo lipo wazi kuwa mwanamke asiye na bikra kuolewa ni kama neema tuu. Hivyo mimi nikisema sikuoi kwani sijakuta bikra nipo sehemu safe kabisa wala sihukumiwi na sheria.

Mwanamke akijitunza mwanaume hawezi kufanya zinaa.
 
Nenda kasome Mithali 31 yote ndo imeelezea sifa zote za mke mwema halafu uje utuonyeshe mstari kutoka humo unaosema kuwa sifa mojawapo ya mke mwema ni kuwa bikira
muonee huruma Mshikaji wako uliyemgeuza mbwa kula makombo.

Unajua sifa za Mke mwema Mkuu??
 
Roho mbaya ni kumpa mwenzako makombo wakati chakula kilikuwa fresh kutoka jikoni.

Walahi mimi huwezi nilisha uchafu. Kwanza ukivua tuu lazima nihisi kichefu chefu
Haya yote ungesema tu kuwa ni mitazamo yako binafsi na siyo kumsingizia Mungu unadhani wewe unavyowaona wanawake wasio mabikira ndivyo Mungu naye anavyowaona? Pole kama ndivyo unavyojidanganya!
 
Sawa Dada
Mbona umepanick hivyo. Usinibadili jinsia. Mimi mwanaume. Wewe linakuumiza nini kama suala halikuhusu la umri huo. Umeshapaa kinoma kwenye hii thread trying to reply anybody who is against you.

Sisi wanaume inatuhusu...sababu sisi ndio waowaji. Na ndio maana nikabandika hapo kathread.

Wewe je?
 
Yaani unavyoandika utasema vile usipowachukua hao wa 90 unakuwa umewakomoa au utasema wewe ni mfalme ambaye kila mwanamke dunia hii anatamani kuolewa na wewe wakati wewe ni kama tone moja tu la maji kwenye bahari ila hizo kelele sasa hehehehe kazi ipo
Mimi wa 88 nikachukue jitu la 90 la kazi gani? Keshakuwa bibi huyo kwangu. Wangu wa 95
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom