Girls born in 1990

Girls born in 1990

haki ya nani vile
Umeona eeeh. Yani kwa miguu tu nshakua nafaa kuekwa ndani. Bado ataona jicho la mwingine ataona anafaa kuekwa.

Baada ya siku mbili miguu aliyoona mizuri anaiona kama fimbo za kuchapia watoto chekecheka. Ndoa inaanza kua ndoano.
 
Kwahiyo sisi old cargo tuna comment wapi

suburini kwanza tumalizane na hawa fresh commodities akina Saint Anne ambao ndio wanasumbua na hili swali la “namba angu umeipataje”?

Tukimaliza tunawaita na nyie mje mcomment maana nyie hamna jipya na tayari mmeshaanza kua undergo Diminishing marginal return graph yenu imeshaanza kuporomokahata mfanye nini🤣🤣🤣
 
suburini kwanza tumalizane na hawa fresh commodities akina Saint Anne ambao ndio wanasumbua na hili swali la “namba angu umeipataje”?

Tukimaliza tunawaita na nyie mje mcomment maana nyie hamna jipya na tayari mmeshaanza kua undergo Diminishing marginal return graph yenu imeshaanza kuporomokahata mfanye nini
Hili swali sitoacha kuuliza hata law ya diminishing marginal return inikute

Na nikimuona mtu tangu mwanzo anajikanyaga kanyaga haongei vizuri sirespond Tena msg zake
 
suburini kwanza tumalizane na hawa fresh commodities akina Saint Anne ambao ndio wanasumbua na hili swali la “namba angu umeipataje”?

Tukimaliza tunawaita na nyie mje mcomment maana nyie hamna jipya na tayari mmeshaanza kua undergo Diminishing marginal return graph yenu imeshaanza kuporomokahata mfanye nini
Kiukweli kuna wanaume wapuuzi wapo wengi tu. Yani mpaka unaulizwa hilo swali jua wewe ni mpuuzi. Wanaume inabidi mjitahidi kwenda extra miles kunasa warembo. Sasa tatizo wanawake wengi katika jamii zetu wako desperate basi hawana hata standards. Ndio maana wanaume nao wanajikuta wanaulizwa hilo swali.

Ila kiuhalisia mwanaume anaejielewa na amelenga kuchukua mke hata kama namba katoa anapojua yeye. Hatokumbana na hilo swali maana atakua amefanya research yake ya kutosha kuhusu huyo bidada. Pili kama atakutana na hilo swali ataweza kulijibu vizuri bila athari kwa pande zote mbili.
 
Hili swali sitoacha kuuliza hata law ya diminishing marginal return inikute

Na nikimuona mtu tangu mwanzo anajikanyaga kanyaga haongei vizuri sirespond Tena msg zake

ahahaa!!! unasema tu hivyo maana age bado inaruhusu kutamka haya uyasemayo!

usiombe yakukute wewe!

huwa inafika mahali yaani hata ujipake make up kilo 6, lakini hakuna hata wa kukwambia “dadaa umependeza kweli leo”..... “dada samahani naomba blah blah” .. “dada nisubiri niku...”!! kila dume unayekutana nae anakuangalia mara moja tu kisha anaegeukia kushoto anaendelea na 50 hamsini.

Hali kama hii ikikuta kwa muda wa miezi 6 siku ukipigiwa na namba ngeni hauwezi ukajibu kwa nyodo hata kidogo. tena nikikata simu wewe ndio unanipugia
 
Kiukweli kuna wanaume wapuuzi wapo wengi tu. Yani mpaka unaulizwa hilo swali jua wewe ni mpuuzi. Wanaume inabidi mjitahidi kwenda extra miles kunasa warembo. Sasa tatizo wanawake wengi katika jamii zetu wako desperate basi hawana hata standards. Ndio maana wanaume nao wanajikuta wanaulizwa hilo swali.

Ila kiuhalisia mwanaume anaejielewa na amelenga kuchukua mke hata kama namba katoa anapojua yeye. Hatokumbana na hilo swali maana atakua amefanya research yake ya kutosha kuhusu huyo bidada. Pili kama atakutana na hilo swali ataweza kulijibu vizuri bila athari kwa pande zote mbili.

kwa mfano kama wewe unapenda mwanaume akujibuje hilo swali ili uridhike?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom