Girls born in 1990

Girls born in 1990

nigga take it easy nikuulize wewe ambaye ni wa 88 na una wa kwako wa 95 halafu unajaa upepo eti kwanini unaulizwa hilo swali na wa 90 wakati umeshasema hauwezi kuwachukua sasa si uachane nao ubaki na huyo wa kwako wa 95 wewe kinachokufanya uendelee kuwatafuta wengine ni kipi boy are you for real
Mbona umepanick hivyo. Usinibadili jinsia. Mimi mwanaume. Wewe linakuumiza nini kama suala halikuhusu la umri huo. Umeshapaa kinoma kwenye hii thread trying to reply anybody who is against you.

Sisi wanaume inatuhusu...sababu sisi ndio waowaji. Na ndio maana nikabandika hapo kathread.

Wewe je?
 
Peter Okoye wa P Square siku anakutana kwa mara ya kwanza na mke wake wa sasa Lola Omotayo alimuomba namba mwanamke akamwambia hampi na kama kweli ana shida na namba yake basi ataitafuta kokote anakojua na ataipata tu na kweli mwanaume aliitafuta na akaipata na mahusiano yakaanzia hapo

Hivi sasa wana miaka zaidi ya 10 ya uchumba na miaka zaidi ya 06 ya ndoa mimi mwenyewe huyu aliyenioa alinipata kwa style hiyo hiyo ya kuniomba namba na kumkatalia aliitafuta hadi akaipata na siku aliyonitafuta alijitambulisha na nilimuuliza namba yangu kaitoa wapi

Alinijibu na tukaanza kuwa marafiki kisha wapenzi na kisha wanandoa na hivi sasa ninavyoandika tuna miaka 15 ya uchumba na miaka 11 ya ndoa na kabla ya kuolewa hilo swali nilishawauliza wanaume wengi tu na ilinisaidia kumpata aliyenipenda kweli maana wale ambao hawakuwa na nia nilipowauliza tu hilo swali walikasirika wakakata simu wengine walinifokea wakakata simu

Ila huyu aliyekuwa na nia kwanza nilimnyima ila bado aliitafuta na akaipata sasa nawashangaa eti mtu kuulizwa hilo swali tu anahusisha na ndoa kama hautaki kujibu kata simu tafuta mwingine huyo asipoolewa wewe inakuuma nini au inakuhusu nini? Na hata hao wasiowauliza hilo swali huwa mnawaoa sasa?
Waambie Baby. Au niongezea sauti ?

Japo umetoka nje ya mada kuu iliyopo mezani umeamishia mjadala kwenye issue ya number ya simu. Major Issue hapa ni umri plus being over selective .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom