Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Hahahahha 8*8 leo mpaumziko. Akakojoe tu alale hamna jinsi![]()
Muongezee na hii kama itamsaidia au otherwise
Hahahahha 8*8 leo mpaumziko. Akakojoe tu alale hamna jinsi![]()
Yaan wanawashwa sana na pilipili wasiyoila.Hivi wanaume kwa nini mnatokwa saaana povu about wanawake kufika miaka 30? Kama wewe hutaki mwanamke wa 30+ years waacheni mdate hao mnaowataka.....kwani nyie mkifika miaka 40 mka date watoto wa miaka 18 huwaga tunatokwa na mapovu? Kila mtu aangalie maisha yake
Ni jibu labda useme sio Jibu sahihi.Sasa hilo siyo jibu tunahitaji majibu mmetoa wapi number zetu na siyo blah blah
Natamani mtu anipe # zako nikutafute uniulize hilo MarianahKwani kama hamuwezi kusema mlipotoa namba si mkate tu simu kila mtu aendelee na mambo yake kwani shida iko wapi? Tusichoshane bwana eti tutazeeka hatujaolewa hivi unadhani wanawake wote walioolewa hawakuwahi kuuliza hilo swali?
Au kwa vile mmeshajua kuwa wanawake wengi wa kibongo wako desperate na ndoa basi ndiyo mnatumia hiyo kauli ya kwamba hawataolewa ili waogope waache kuuliza hilo swali? Yaani wanaume wa kibongo mna mambo ya ajabu sana yaani huwa mnaishi kwa kukariri tu!
Naomba aeleweke mtoa maada hiiHivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
![]()
Njoo nikupe me ninazo
Mbaya zaidi wanaume wanakufa halaka kuliko wanawakeYaan wanakesha kila siku wakijadili umri wa wanawake na kujifanya wanatujua sana! Wanakera,, siyo kila mwanamke akifikisha 30 anapanic wengi wako na mipango yao tu, maisha hayana formula.
Kwani wanaume hawajishongondoi kutaka mwanamke mwenye sifa kibao?Naomba aeleweke mtoa maada hii
In fact hakuwa amelenga kusema swala la kuulizwa umepataje namba yangu ni swali gumu au sio la msingi
Ujumbe hapa ni
Kujishongondoa kwa vibinti
Kukataa uchumba hata bila sex
Kuwa na masharti kibao dhidi ya mwanaume wa kuwa nae ambapo mala nyingi hakuna kiumbe wenye sifa zote hizo utakayempata
Na mengine kibao ya aina hiyo
Nawaangalia tu, wanajisahau sanaMbaya zaidi wanaume wanakufa halaka kuliko wanawake
Anaelewa sasa. Kama angekua anaelewa hii ingemfaaa sanaMuongezee na hii kama itamsaidia au otherwise
View attachment 1175302
HahaaAnaelewa sasa. Kama angekua anaelewa hii ingemfaaa sana
Yaan wanakesha kila siku wakijadili umri wa wanawake na kujifanya wanatujua sana! Wanakera,, siyo kila mwanamke akifikisha 30 anapanic wengi wako na mipango yao tu, maisha hayana formula.
Yani tena unadelete kabisa kwenye call log usije ukaipiga kwa bahati mbaya. Ukampigia majnuni



kabisaaaHahahahhaha yani uipate tu hivi hivi ingekua hatari
Ni jibu labda useme sio Jibu sahihi.
Mbona nyie mnachagua saana ila hatulalamiki mweeeh.....ila sisi tukimkataa mwanaume bse hatujaridhika naye mnasema tunaringaNaomba aeleweke mtoa maada hii
In fact hakuwa amelenga kusema swala la kuulizwa umepataje namba yangu ni swali gumu au sio la msingi
Ujumbe hapa ni
Kujishongondoa kwa vibinti
Kukataa uchumba hata bila sex
Kuwa na masharti kibao dhidi ya mwanaume wa kuwa nae ambapo mala nyingi hakuna kiumbe wenye sifa zote hizo utakayempata
Na mengine kibao ya aina hiyo
