Girls born in 1990

Girls born in 1990

Kuna walioolewa na miaka 24 wakiwa mabikira na ndoa zao zimevunjika au hazina amani na kuna walioolewa na miaka 35 wakiwa hawana bikira na ndoa zao zimedumu na zina amani

Kuna watoto wamezaliwa ndani ya ndoa na mwisho wa siku wakaja kuwa mashoga na wasagaji na kuna watoto wamezaliwa nje ya ndoa na mwisho wa siku wakaja kuwa watiifu na wacha Mungu tukumbuke ili kupata 10 siyo lazima uchukue 5 + 5 tu au 10 + 0 tu hata 7 + 3 au 9 + 1 nk nazo zitakupa jibu 10

Maisha ni kama mtihani ambao kila mtu ana maswali yake tofauti na ya mwingine na watu wanapokosea ni pale wanapojaribu kuigilizia majibu ya watu wengine badala ya kutafuta majibu yanayoendana na maswali yao na ndipo wanapojikuta wanafeli

Hakuna anayechelewa wala anayewahi kila mtu yupo kwenye timezone yake mwenyewe kulingana na kusudi lake hapa duniani na siku tutakapoujua huu ukweli mchungu basi tutaacha kukariri maisha na tutaacha kulazimisha watu waishi kutokana na matakwa ya watu wengine na ili kufurahisha watu wengine
Baby jitahidi uwe muelewa. Sio una comment kama mashindano ya watoto wa shule walio kwenye mdahalo wasiofahamu uhalisia wa maisha.
 
Hebu rudia tena kusoma uzi vizuri
Waambie Baby. Au niongezea sauti ?

Japo umetoka nje ya mada kuu iliyopo mezani umeamishia mjadala kwenye issue ya number ya simu. Major Issue hapa ni umri plus being over selective .
 
Sio kuwa sensitive, kawaida tu kuna watu wameumbwa hivyo huwa wanatunza kumbukumbu sana
Hata mimi natunza sana kumbukumbu lakini sio hizi comments za jf ambazo mwisho wa siku haziingizii hata senti moja labda kama niwe sina mambo ya msingi yanayohitaji space kichwani mwangu, kitu ambacho hakiwezekani.
 
Hata mimi natunza sana kumbukumbu lakini sio hizi comments za jf ambazo mwisho wa siku haziingizii hata senti moja labda kama niwe sina mambo ya msingi yanayohitaji space kichwani mwangu, kitu ambacho hakiwezekani.
Utakuta ananifuatilia kitambo ndio maana ana kumbu kumbu hizo. Huyu sijui ni spy...hahaha mi hunipati. Hata ukinijua jina hujui pa kuniona na hakuna mahali kuna picha yangu.
 
Not to that extent bby. It sounds weird.
Or eslse uwe na motives za ziada.
Haka kadada sijui kametumwa? Kanaonekana kana nifatilia kitambo. Mpaka comment? Duh lipo jambo.

Kwanza kaje katueleze hapa kwanini kamebadili ID toka Edelyn kuwa Marianah.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom