Girls born in 1990

Girls born in 1990

Peter Okoye wa P Square siku anakutana kwa mara ya kwanza na mke wake wa sasa Lola Omotayo alimuomba namba mwanamke akamwambia hampi na kama kweli ana shida na namba yake basi ataitafuta kokote anakojua na ataipata tu na kweli mwanaume aliitafuta na akaipata na mahusiano yakaanzia hapo

Hivi sasa wana miaka zaidi ya 10 ya uchumba na miaka zaidi ya 06 ya ndoa mimi mwenyewe huyu aliyenioa alinipata kwa style hiyo hiyo ya kuniomba namba na kumkatalia aliitafuta hadi akaipata na siku aliyonitafuta alijitambulisha na nilimuuliza namba yangu kaitoa wapi

Alinijibu na tukaanza kuwa marafiki kisha wapenzi na kisha wanandoa na hivi sasa ninavyoandika tuna miaka 15 ya uchumba na miaka 11 ya ndoa na kabla ya kuolewa hilo swali nilishawauliza wanaume wengi tu na ilinisaidia kumpata aliyenipenda kweli maana wale ambao hawakuwa na nia nilipowauliza tu hilo swali walikasirika wakakata simu wengine walinifokea wakakata simu

Ila huyu aliyekuwa na nia kwanza nilimnyima ila bado aliitafuta na akaipata sasa nawashangaa eti mtu kuulizwa hilo swali tu anahusisha na ndoa kama hautaki kujibu kata simu tafuta mwingine huyo asipoolewa wewe inakuuma nini au inakuhusu nini? Na hata hao wasiowauliza hilo swali huwa mnawaoa sasa?
Asee sijawahi kushindwa hilo swali if I really need you. In case I get to know you and I can't manage to capture your number from yourself....i will find it somewhere else na jibu ntakupa nilikoipata.

Sometimes wanaotupa namba wanasema "please usinitaje" sasa mnataka tuvunje uaminifu?
 
Peter Okoye wa P Square siku anakutakana kwa mara ya kwanza na mke wake wa sasa Lola Omotayo alimuomba namba mwanamke akamwambia hampi na kama kweli ana shida na namba yake basi ataitafuta kokote anakojua na ataipata tu na kweli mwanaume aliitafuta na akaipata na mahusiano yakaanzia hapo

Hivi sasa wana miaka zaidi ya 10 ya uchumba na miaka zaidi ya 06 ya ndoa mimi mwenyewe huyu aliyenioa alinipata kwa style hiyo hiyo ya kuniomba namba na kumkatalia aliitafuta hadi akaipata na siku aliyonitafuta alijitambulisha na nilimuuliza namba yangu kaitoa wapi

Alinijibu na tukaanza kuwa marafiki kisha wapenzi na kisha wanandoa na hivi sasa ninavyoandika tuna miaka 15 ya uchumba na miaka 11 ya ndoa na kabla ya kuolewa hilo swali nilishawauliza wanaume wengi tu na ilinisaidia kumpata aliyenipenda kweli maana wale ambao hawakuwa na nia nilipowauliza tu hilo swali walikasirika wakakata simu wengine walinifokea wakakata simu

Ila huyu aliyekuwa na nia kwanza nilimnyima ila bado aliitafuta na akaipata sasa nawashangaa eti mtu kuulizwa hilo swali tu anahusisha na ndoa kama hautaki kujibu kata simu tafuta mwingine huyo asipoolewa wewe inakuuma nini au inakuhusu nini? Na hata hao wasiowauliza hilo swali huwa mnawaoa sasa?
At least leo nimekuelewa.
 
Hao marafiki wanaowapa namba huo unakuwa ni wasi wasi wao tu mbona huwa hata hatumind? Tutamind endapo pale mwanaume umepiga kwa mara ya kwanza halafu unaongea maneno ya ajabu ajabu au unatongoza siku hiyo hiyo na kuomba mzigo siku hiyo hiyo hapo ndiyo lazima tuwatafute waliowapa namba zetu na tuwaulize kwanini wamefanya hivyo

Lakini kama mtu umekuja kistaarabu haujaongea upuuzi au labda umeomba kiungwana tu tukutane sehemu tuongee vizuri sidhani kama tutachukia tena kama tukiona tumepata wanaume wanaojielewa tunaweza hata kuwashukuru hao marafiki zetu waliogawa hizo namba sasa unakuta mwanaume unataka tu kupiga na kusepa au unataka kumfanya dada wa watu mchepuko eti na wewe hautaki kuulizwa namba umetoa wapi khaa
Kuna yule rafiki yako unayemuamini sana ndio kanipa namba na anasema usinitaje please. Kwa hiyo 90% ya majibu ya sehemu nilikopata namba ni uongo. Nanyi mnakubali kudanganywa. Be it safe usiulize.
 
Yeah hilo swali linamake sense ila nawashangaa wanaume kinachowawia ugumu kujibu na kinawachowafanya walalamikie sana hilo swali as if it's the hardest question in the universe!! SMH
Nimeelewa sababu ya kumuuliza mtu 'umepata wapi namba yangu'
 
Kwa hii comment uzi umeshaisha
Peter Okoye wa P Square siku anakutakana kwa mara ya kwanza na mke wake wa sasa Lola Omotayo alimuomba namba mwanamke akamwambia hampi na kama kweli ana shida na namba yake basi ataitafuta kokote anakojua na ataipata tu na kweli mwanaume aliitafuta na akaipata na mahusiano yakaanzia hapo

Hivi sasa wana miaka zaidi ya 10 ya uchumba na miaka zaidi ya 06 ya ndoa mimi mwenyewe huyu aliyenioa alinipata kwa style hiyo hiyo ya kuniomba namba na kumkatalia aliitafuta hadi akaipata na siku aliyonitafuta alijitambulisha na nilimuuliza namba yangu kaitoa wapi

Alinijibu na tukaanza kuwa marafiki kisha wapenzi na kisha wanandoa na hivi sasa ninavyoandika tuna miaka 15 ya uchumba na miaka 11 ya ndoa na kabla ya kuolewa hilo swali nilishawauliza wanaume wengi tu na ilinisaidia kumpata aliyenipenda kweli maana wale ambao hawakuwa na nia nilipowauliza tu hilo swali walikasirika wakakata simu wengine walinifokea wakakata simu

Ila huyu aliyekuwa na nia kwanza nilimnyima ila bado aliitafuta na akaipata sasa nawashangaa eti mtu kuulizwa hilo swali tu anahusisha na ndoa kama hautaki kujibu kata simu tafuta mwingine huyo asipoolewa wewe inakuuma nini au inakuhusu nini? Na hata hao wasiowauliza hilo swali huwa mnawaoa sasa?
Sioni cha kuongezea
 
Kuna umuhimu gani wa kukwambia mechanism niliyotumia kupata namba wakati lengo la kukupigia nimeshakwambia?
Nakuwa nayo ya nini? Si ya kuwasiliana na watu wangu wa karibu na wale wanaonijua? Sasa wewe usiye mtu wangu wa karibu wala usiyenijua naachaje kukuuliza umetoa wapi namba yangu? Kwanini huwa hamuwezi kujibu hilo swali?
 
Mungu awajalie wanawake changamoto wanazopitia.

Wajifunze kuwa na hekima ya Muda.

Binafsi wadogo wangu wa kike nawaambiage kuwa akifika kidato cha sita(Miaka 18-19.) Wahakikishe wamepata wachumba wa uhakika.

Kingine nawaambia linda bikra kamwe huwezi chelewa kupata Mume.

Dada zangu wengi wanaolewa wakiwa na age 23-27. Mara baada yakumaliza chuo au kuwa kazini miaka isiyozidi Miwili.

Hata hivyo Kila mmoja ananjia ya maisha yake. Hivyo wengine siwahukumu japo wanahaja ya kwenda na muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom