Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Hapo swala siyo mwanaume kuwa na bikira ila swala ni wote wanaume na wanawake wajitunze sasa wanawake wakijitunza wanaume watakuwa wanafanya na kina nani? Halafu ni wapi pameandikwa kuwa mwenye bikira tu ndiyo anatakiwa ajitunze?Wee ndio unataka kusema sio mimi.
Kama mwanaume naye anabikra basi naye anahusika.
Ndio shida ya Mwanamke malaya hawezi kukaa bila kujilinganisha na Mwanaume.
Mwanamke malaya ni sawa na mwanaume shoga.
Wakati mwanamke malaya anajilinganisha na mwanaume. Naye Mwanaume shoga hujilinganisha na Mwanamke.
Mwanamke aliyeolewa bikra ambaye sio malaya kamwe hajilinganishi na Mwanaume.
Hivyo lolote unalofikiri ni sawa kwa muktadha wowote hapo.
As far as I know vitabu vya dini vimekataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote mbili hakuna sehemu maandiko yamemkataza mwanamke halafu yamemruhusu mwanaume na wewe najua unafuata maandiko
Basi naomba niletee andiko ambalo linamruhusu mwanaume kufanya uzinzi na uasherati kama lipo halafu nitaacha kuwaambia wanaume wajitunze tatizo mnalazimisha utofauti hadi kwenye dhambi
Mkuu wanaume na wanawake tunatofautiana sana tu ila inapokuja kwenye swala la dhambi hakuna cha mwanaume wala mwanamke wote sawa kama lipo andiko linalowatofautisha wanaume na wanawake hadi kwenye dhambi basi lilete hapa nalisubiri

