Girls born in 1990

Girls born in 1990

Naomba aeleweke mtoa maada hii
In fact hakuwa amelenga kusema swala la kuulizwa umepataje namba yangu ni swali gumu au sio la msingi
Ujumbe hapa ni
Kujishongondoa kwa vibinti
Kukataa uchumba hata bila sex
Kuwa na masharti kibao dhidi ya mwanaume wa kuwa nae ambapo mala nyingi hakuna kiumbe wenye sifa zote hizo utakayempata
Na mengine kibao ya aina hiyo
Jamani hebu someni teba bandiko langu na hiyo picha. Stupid questions zipo nyingi huo wa namba umetolewa mfano tu. Na vijimaringo vingine mlivyo navyo.

Sasa isiwe topic kuwa namba ndio issue ya kujadili. Acheni maringo, being too selective, vijitabia vya ajabu ajabu umri hauwangoji ndicho ninanchomaanisha.
 
Mada kama hizi huletwa na wanaume maskini.

Mna maneno mengi na lawama tele kila kukicha.

Mbona wanawake wana washughulisha sana kwani umri wao ukienda wewe kinachokuuma nini?
Hahaha mi sina umasikini wowote. Kama hiyo haitouch we kinakuuma nini?
 
Ninayo mimi na watu wangu wa karibu. Sasa wewe sema ulipoitoa wapi. Hutaki kakojoe ulale. Wapo wanaokesea namba pia kwani hujawahi kuona au kusikia.
Asee sijawahi kushindwa hilo swali if I really need you. In case I get to know you and I can't manage to capture your number from yourself....i will find it somewhere else na jibu ntakupa nilikoipata.

Sometimes wanaotupa namba wanasema "please usinitaje" sasa mnataka tuvunje uaminifu?
 
Kuna yule rafiki yako unayemuamini sana ndio kanipa namba na anasema usinitaje please. Kwa hiyo 90% ya majibu ya sehemu nilikopata namba ni uongo. Nanyi mnakubali kudanganywa. Be it safe usiulize.
 
Asee sijawahi kushindwa hilo swali if I really need you. In case I get to know you and I can't manage to capture your number from yourself....i will find it somewhere else na jibu ntakupa nilikoipata.

Sometimes wanaotupa namba wanasema "please usinitaje" sasa mnataka tuvunje uaminifu?
Kama unataka kutengeneza uaminifu huku unapokuja lazima utaje ulipotoa namba.
 
Msiwatishe!
images.jpeg
 
Kuna yule rafiki yako unayemuamini sana ndio kanipa namba na anasema usinitaje please. Kwa hiyo 90% ya majibu ya sehemu nilikopata namba ni uongo. Nanyi mnakubali kudanganywa. Be it safe usiulize.
Hamna rafiki unaemuamini wa hivo. Rafiki mwanaminifu atakuuliza mwenyewe kuna jamaa anaomba yako nimpe. Yani kwamba hilo jamaa likikutafuta hamna suprise ulishaambiwa. Mtu anaetoa namba afu hatakai ajulikane atakua ni mshikaji tu sio rafiki
 
Jamani hebu someni teba bandiko langu na hiyo picha. Stupid questions zipo nyingi huo wa namba umetolewa mfano tu. Na vijimaringo vingine mlivyo navyo.

Sasa isiwe topic kuwa namba ndio issue ya kujadili. Acheni maringo, being too selective, vijitabia vya ajabu ajabu umri hauwangoji ndicho ninanchomaanisha.
Mbona wanaume pia mko too selective ila wanawake hatulalamiki? Tena huwa mnataja sifa utafikiri mnataka oa malaika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom