Gharama za kutoka na Mchepuko

Gharama za kutoka na Mchepuko

Chakula vinywaji 30,000 yani hapo mtakuwa mmekula kwa kujibana sana. Kuna demu ukimtoa yaani ule muda mmekaa tu kusubiri msosi ameshamaliza savana 2.
Mpaka muda wa kuondoka ameshakunywa hata 6 hapo ni 30000 ,ongeza na vinywaji utakavyo kunywa wewe. Chakula hapo ni majanga
 
Wa kutoa shukurani ni mchepuko au ni wewe ?

Wewe ndio umeomba starehe, wewe ndio uli mwaproach. umelipia huduma, akushukuru kwa lipi, ugali wa lodge?

Amekaa kimaslahi. Wewe ndio umefata maslahi ya ngono. Yeye hajakufata umpe maslahi!

We ulitaka umlale bure bure akijua kabisa uhusiano hauna mbele wala nyuma, halafu yeye ndio akwambie wewe ahsante ? Hata sex slave hatoi ahsante. Asante umemjengea, au asante akupe ya wewe kumlala yeye? ?
Umeongea ukweli mtupu. Naunga mkono hoja.
 
Hiyo 120k ni ndogo, labda kama hauzingatii daraja

Kuna Kei nyingine bila kugharamia 4 to 5 stars hotel hujamvua

Imagine unalipia room pekee 300k, ukiongeza food and drinks 230k

Ukiweka na uchakavu wake 350k

Kamilioni kale kanaenda

Kule Kijijini unapata ekari 10 kwa shilingi laki laki

Anyways, wacha tuzoee kula maharage miaka 60 ya Ndoa 🙌
 
Hiyo 120k ni ndogo, labda kama hauzingatii daraja

Kuna Kei nyingine bila kugharamia 4 to 5 stars hotel hujamvua

Imagine unalipia room pekee 300k, ukiongeza food and drinks 230k

Ukiweka na uchakavu wake 350k

Kamilioni kale kanaenda

Kule Kijijini unapata ekari 10 kwa shilingi laki laki

Anyways, wacha tuzoee kula maharage miaka 60 ya Ndoa 🙌
1,000,000 parefu
 
Hiyo 120k ni ndogo, labda kama hauzingatii daraja

Kuna Kei nyingine bila kugharamia 4 to 5 stars hotel hujamvua

Imagine unalipia room pekee 300k, ukiongeza food and drinks 230k

Ukiweka na uchakavu wake 350k

Kamilioni kale kanaenda

Kule Kijijini unapata ekari 10 kwa shilingi laki laki

Anyways, wacha tuzoee kula maharage miaka 60 ya Ndoa 🙌
Hizo gharama zote mzee mwenzangu inabidi mtu ahakikishe familia yake iko well-off, maana kuspend na nwanamke huku nyumbani kunanuka ufukara, ndugu na wazazi wanakufa njaa ni dhambi
 
Hizo gharama zote mzee mwenzangu inabidi mtu ahakikishe familia yake iko well-off, maana kuspend na nwanamke huku nyumbani kunanuka ufukara, ndugu na wazazi wanakufa njaa ni dhambi
Umesema sahihi Mzee mwenzangu

Kipaumbele cha kwanza huwa ni Mke na Watoto

Hawa ndiyo faraja yetu mambo yakienda ndivyo sivyo

Kama una akili timamu huwezi kutumia 120k Kwa mchepuko, wakati Mke na watoto hawajala Nyama miezi 8 🙌
 
1,000,000 parefu
Kuna Wanaume wenzetu wanajua kuhonga Mkuu

Nina rafiki yangu, yeye kila Ijumaa anaagiza demu mjini akimkatia tiketi ya Ndege to-from

Hapo kwa haraka haraka hakosi kutumia 1,800k kila wiki

Manake yeye anaagizaga hawa celebrities ambao dau lao sio chini ya 800k, ukiplus Ndege na hotel

1,800k ile inaenda 🙌
 
1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000

Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.

Mkuu umegusa penyewe, chumba cha 30 silali.

1. Chumba 50,000
2. Nauli yeye kuja 20,000
3. Nauli yeye kurudi 20,000
4. Kula nakubalia hiyo 30,000 inafika na awe sio mlevi, akiwa mlevi kuna mpuuzi aliagiza chupa ya kilevi nimesahau jina bill ikaja 75,000 hicho kinywaji pekee, nikajiuliza huyu amewah kutoa hela yake mfukoni akanunua hiki kinywaji au alikuwa anahadithiwa akaona leo atimize ndoto

5. Asante after mach asubuhi anaondoka 50,000

In short nilifanyaga hesabu kuchepuka siku moja niwe na minimum 150,000, tuombee hili pepo lililojificha katika hili eneo, ukienda vilodge vizuri muda wote vimejaa, watu wanaingia na kutoka na wengi ni vijana, wazee na wasichana wadogo n.k
 
Kuna Wanaume wenzetu wanajua kuhonga Mkuu

Nina rafiki yangu, yeye kila Ijumaa anaagiza demu mjini akimkatia tiketi ya Ndege to-from

Hapo kwa haraka haraka hakosi kutumia 1,800k kila wiki

Manake yeye anaagizaga hawa celebrities ambao dau lao sio chini ya 800k, ukiplus Ndege na hotel

1,800k ile inaenda 🙌
Duuh noma sana, ila anyway ukikumbuka ipo siku utakufa mtu anaona ajipe raha vile aonavyo
 
Duuh noma sana, ila anyway ukikumbuka ipo siku utakufa mtu anaona ajipe raha vile aonavyo
Ni kweli Mkuu

Wapo baadhi yetu wanaona bora wazitumie tu badala ya kuja kusababisha ndugu kuuana wakigombea mali zake baada ya Kifo chake 😜

Wanatumia msemo wa "Ponda mali kufa kwaja"🙌
 
Nina cousin yng nimepanga kumchata kwa dau la 500k + nauli
400k ila yey amekomalia 1M + nauli mpk sas tumekwamia apo 😀
 
Starehe gharama yaani 120k ndo unaianzishia Uzi kweli!! Doh
Tafuta ela kijana
 
Kuna Wanaume wenzetu wanajua kuhonga Mkuu

Nina rafiki yangu, yeye kila Ijumaa anaagiza demu mjini akimkatia tiketi ya Ndege to-from

Hapo kwa haraka haraka hakosi kutumia 1,800k kila wiki

Manake yeye anaagizaga hawa celebrities ambao dau lao sio chini ya 800k, ukiplus Ndege na hotel

1,800k ile inaenda 🙌
Duh huyo rafiki yako anafanya biashara gani.. atakua ni bilionea Grahams
 
Hiyo buku 10 ya usafiri kwani huna ndinga mkuu?
 
Duh huyo rafiki yako anafanya biashara gani.. atakua ni bilionea Grahams
Anajihusisha na Uchimbaji wa madini na uuzaji pia

Of course, his net worth could range around B kadhaa 🙌

Sio sisi Wazee wakulima 😜
 
Nikikutana na hizi mambo najiuliza ningekuwa mwanaume ningeweza kweli?
I mean how comes raha mpate wote lakini gharama zote ziwe juu yangu??na asante kwa kuja 50K juu

I see being a man is tough
Yaani niliwah jiulizs hili swali 😀😀nikimpa mtu elf 20 lazima ajielezee sana kwakweli ningewezaje
 
Back
Top Bottom