Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,856
- 89,758
Kuwa mwanaume kipengele 😁Yaani niliwah jiulizs hili swali 😀😀nikimpa mtu elf 20 lazima ajielezee sana kwakweli ningewezaje
Kuwa mwanaume kipengele 😁Yaani niliwah jiulizs hili swali 😀😀nikimpa mtu elf 20 lazima ajielezee sana kwakweli ningewezaje
mchepuko wa bei ya jioni1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
Kwa hali ya mahusiano ya sasa, ungeishia kumaliza sabuni zetu huko bafuniYaani niliwah jiulizs hili swali 😀😀nikimpa mtu elf 20 lazima ajielezee sana kwakweli ningewezaje
😀😀😀Kumaliza sabuni tena jmnKwa hali ya mahusiano ya sasa, ungeishia kumaliza sabuni zetu huko bafuni
Wanawake wengi miaka hii wanauishi msemo wa "Mkono tupu haulambwi" na "penye uzia, penyeza rupia"
Bila kutoa kifuta jasho, hakuna Mwanamke utampata 🙌
😂😂😂😂😂Yaani niliwah jiulizs hili swali 😀😀nikimpa mtu elf 20 lazima ajielezee sana kwakweli ningewezaje
Hivi siku hizi imekuwa ni fashion mtu kuwa na mchepuo? Yaani huko nyuma watu waliokuwa na michepuo walikuwa wanafanya siri siri sana ila siku hizi mtu anaona fahari kuwa watu wanajua kuwa ana mchepuo na wapo ambao hata wake zao huwa wanawajuwa machepuo ya waume zao? What is this? Tena kuna na hawa wanawake ambao wamekubali kabisa kuwekwa kama michepuo! Why?1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
Ni mwendo wa kumaliza sabuni tu, maana bila hela hakuna mahusiano utapata😀😀😀Kumaliza sabuni tena jmn
Huenda ubahili sababu sinaela ningekuwa nazo ningehonga et jamani ningenunua had gari kumpa mtoto wa mtu 😂😂😂Ni mwendo wa kumaliza sabuni tu, maana bila hela hakuna mahusiano utapata
Kwahiyo ungekuwa na huo ubahili wa kusikitika ukimpa mpenzi wako 20k, Wala msingeweza kudumu hata Kwa nusu saa 😜
Gharama kubwa zaidi ni kutegwa mimba usiyo na Mpango nayo.1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
KabisaHuenda ubahili sababu sinaela ningekuwa nazo ningehonga et jamani ningenunua had gari kumpa mtoto wa mtu 😂😂😂
Ina tv humohumo au😀Kabisa
Ukiwa eneo la tukio, unajikuta unahaidi tu kadri unavyopewa mambo
Baby anakwambia nimechoka kupanda daladala, nawe bila shaka unamwambia Mwezi Ujao nakuagizia Toyota Premio
Baada ya Mwaka mmoja anakuomba umnunulie Kiwanja Madale
Hujakaa sawa, umemtafuta Mkandarasi anaanza kumjengea baby wako nyumba ya Vyumba vinne yenye Kila kitu ndani 🙌
Unajua mitishambaIna tv humohumo au😀
Hapa umenichekesha! Naungama nilinunuliwa gari ya maana na jamaa. Siyo ajabuHuenda ubahili sababu sinaela ningekuwa nazo ningehonga et jamani ningenunua had gari kumpa mtoto wa mtu 😂😂😂
Mijanamke yenye ya siku hizi inapata wapi mda wa kukuombea1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
DuhYote ya nini hiyo.
Nauli yake 3000
Kula 4500
Gesti Kamwala 5000
Yeye atapewa 7000
Jumla kuu 19,500
Ha po Kuna watu wanafumia chini ya hapoView attachment 3486991
Kwa akili kama hizi, hii nchi inasafari ndefuKila mtu hufanya mapenzi kulingana na hadhi yake ya kiuchumi, mtu mwenye mpunga mrefu hupata mademu wa mipunga mirefu. Kila mtu kwa hali yake ana mademu wa hali yake kumpa penzi. Masikini wanakula masikini wenzao na matajiri wanakula matajiri wenzao, mastaa wanakulana wenyewe kwa wenyewe. Ila siku hizi kupata penzi la bure ni shughuli pevu. Zamani penzi lilitolewa kwa kigezo cha kuwa na uwezo wa kuchakata mbunye vema, mtulinga ulioshiba na kujaa mbunyeni vizuri ila siku hizi mademu wanaangalia hela tu hata kama una mtulinga dhaifu usiojaa mbunyeni vema, anachotaka demu ni hela tu
Andaa mafuta kashakubali kupakuliwa kinyesiYote ya nini hiyo.
Nauli yake 3000
Kula 4500
Gesti Kamwala 5000
Yeye atapewa 7000
Jumla kuu 19,500
Ha po Kuna watu wanafumia chini ya hapoView attachment 3486991