Gharama za kutoka na Mchepuko

Gharama za kutoka na Mchepuko

Hata Mimi nimeshangaa, kweli kula na Kunywa ni 30,000 tu?Watu wawili??? Usafiri 10,000? Boda boda ya wapi hiyo kwenda na kurudi Mkuu?
Kama mnaspend hiyo sio hela, kula na kunywa inaweza kufika hata 100k ni nyie tu na mazingira, wapo wanaotumia 10-50k tu, kiepe kuku x2 10k, bia 3x2 12k, nauli 10k, lodge 20k, asante 20k, jumla 72k

Haya mambo ni vile wewe unataka tu.
 
Kama mnaspend hiyo sio hela, kula na kunywa inaweza kufika hata 100k ni nyie tu na mazingira, wapo wanaotumia 10-50k tu, kiepe kuku x2 10k, bia 3x2 12k, nauli 10k, lodge 20k, asante 20k, jumla 72k

Haya mambo ni vile wewe unataka tu.
Nkajua wazee mmeacha haya mambo aisee
 
Ni hivi.. kila mtu achague starehe yake anayoipenda then aweke bajeti yake (Fixed).

Ngono ni gharama pia si gharama. Inategemea na standards ulizojiwekea.

Unaweza kutumia hiyo hela na hata zaidi bila ya kupata ngono.. yaan Manzi unaingia nae lodge na bado kumkula anakukazia vile vile.. au unakuta yupo Period..

Uzinzi ni gharama sana kuna muda inabidi uwe Vampire tu potelea pote.
 
Comment yangu kama umetuliza akili na kuisoma ipo obvious kwamba ni tofauti na wengine
Uliulizwa: “Hujawahi kugharamiwa hvyo mkuu? Au wewe unafanya cost sharing

Ukajibu: “Nimewahi mkuu

Tofauti yako ni kwamba umeshaacha au ni nini?
 
Uliulizwa: “Hujawahi kugharamiwa hvyo mkuu? Au wewe unafanya cost sharing

Ukajibu: “Nimewahi mkuu

Tofauti yako ni kwamba umeshaacha au ni nini?
Nikisema nimewahi kugharamiwa kwa upande wako ina maana moja tu?

Kwamba siwezi kugharamiwa na mimi nikashiriki kugharamia hata kwa kiasi fulani sio?
 
Sasa hizi ni ndoto za watu toka utotoni nakushangaa unapowazuia kutimiza ndoto zao.
 
Nikisema nimewahi kugharamiwa kwa upande wako ina maana moja tu?

Kwamba siwezi kugharamiwa na mimi nikashiriki kugharamia hata kwa kiasi fulani sio?
Aliuliza, “…kugharamiwa hvyo mkuu?” Hapo questioner hakumaanisha kugharamiwa tofauti na wengine!

Usijali, kama wewe unafanya tofauti, ni vizuri.
 
Yeah ni low class Mimi niliwahi kula demu kwa 200,000/-
Upo vizuri. Hivi hawa wasada wa siku hizi wana michezo ya ku sex na mbwa, alafu na sie humo humo tunachomeka vitu mbona mbayaaa hii
 
Kama mnaspend hiyo sio hela, kula na kunywa inaweza kufika hata 100k ni nyie tu na mazingira, wapo wanaotumia 10-50k tu, kiepe kuku x2 10k, bia 3x2 12k, nauli 10k, lodge 20k, asante 20k, jumla 72k

Haya mambo ni vile wewe unataka tu.
Labda kama uko Mkoa (Au BUZA Kwa Mpalange)- sio hii Dar es Salaam tunayoifahamu sisi. Sasa Mkila Chips Mayai - hiyo SHUGHULI mnayotaka kuifanya, itafanyika kweli kwa huo MLO?
 
Back
Top Bottom