Usemacho ni kweli, ila uhalisia wanaume tuna HULKA ya kuchovya chovya, yaani kutangaza UANAUME wetu, unajikuta tu unatamani kumkamua mtoto wa mtu, nae aonje ladha ya duduwasha. Aone UANAUME wako, na sababu nyingine ndogo ndogo..
Hii ni hulka ambayo wanaume tunayo, sitetei uzinzi ila huu ni uhalisia.
Usemacho ni kweli, wazee tupunguze vyenga vingi, wekeza zaidi home, laki bora umtumie umpe bimkubwa, mke ama watoto.. hata kama wameshapata si mbaya kuongezea.
Katika vita ngumu wanaume tunapigana nayo, basi ni hii ya kutowapelekea moto wengine,
Sisi wanaume tuliofanikiwa KWA KIASI KIKUBWA kushinda hii vita, tuheshimiwe saaana 😄🤣