Nafikiri hayo yanayoruka na kupita juu za nyumba ni risasi za mizinga na maroketi ya kupigia mizinga ukichanganya na high speed bullets ,nijuavyo mabomu huwa hayaruki hulipukiana papo kwa papo ila hayo niliyoyata yakiunguza fuse tu huelkea kusikojulikama kama lililofyetuliwa kutoka kwenye mzinga,ila kama kuna wakuu wanaojua habari za mabomu yanayoruka watueleze. Sidhani kama kuna mtu anatakiwa ajiuzulu huo utakuwa ni uzezeta kutaka kiongozi wa juu ajiuzulu ,mbona sehemu nyingi tu duniani kulipuka kwa maghala ya silaha ni jambo la kawaida.
Nawapa pole wenyeji wa eneo hilo na wajeshi waliokuwa kwenye zamu.
Kweli mtu amefika sehemu yenye kuhuzunisha anadiriki kupiga picha na tabasamu kana kwamba yupo kwenye sherehe fulani. Embu cheki hii pic
View attachment 23319
inteligensia inapata habari kuhusu maandamano ya chadema lakn si mambo muhmu kama haya! Yaan acha tu. Oh my dear tz
kikwete must resign as well
huyu ndo anasababisha haya yote
Ripoti ya mbagala ipo wapi? Wanatakiwa wajiuzuru hata kama ni ajali.......mara ya pili hii, na kumbuka ajali wakati mwingine huzuilika. Yaani baada ya mbagala tulitegemea wawe wamejifunza lakini tatizo lilelile linajirudia. Wajiuzuru!Nafikiri hayo yanayoruka na kupita juu za nyumba ni risasi za mizinga na maroketi ya kupigia mizinga ukichanganya na high speed bullets ,nijuavyo mabomu huwa hayaruki hulipukiana papo kwa papo ila hayo niliyoyata yakiunguza fuse tu huelkea kusikojulikama kama lililofyetuliwa kutoka kwenye mzinga,ila kama kuna wakuu wanaojua habari za mabomu yanayoruka watueleze. Sidhani kama kuna mtu anatakiwa ajiuzulu huo utakuwa ni uzezeta kutaka kiongozi wa juu ajiuzulu ,mbona sehemu nyingi tu duniani kulipuka kwa maghala ya silaha ni jambo la kawaida.
Nawapa pole wenyeji wa eneo hilo na wajeshi waliokuwa kwenye zamu.
Mkubwa umeeleka, sasa tuanze na lipi? 1.Tuandamane au 2.Tusubili wahusika wajiengue.Kama madaraka tunapeana kiswahiba mtawajibishana vipi?? Inabidi tuseme ni bahati mbaya ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Hivi kweli JK anaweza kumuwajibisha mtoto wa Mwinyi?? Si Mwinyi naye aliwahi kumpa JK uwaziri na JK kalipa kwa kumpa mtoto wa Mwinyi... Kwanza tujiulize sakata la Mbagala kuna mtu hata mmoja alijiuzuru?? Kama hakuna then nani angechukua taadhari wakati hakuna issue yoyote kubwa nchii hii hata kama watu wanakufa. Kosa lilishafanyika kuruhusu Mkwere achakachue kura na kubakia kuwa rais then tuendelee tu kubeba msalaba manake ndo adhabu zenyewe hizo na laana toka kwa Mungu
Ripoti ya mbagala ipo wapi? Wanatakiwa wajiuzuru hata kama ni ajali.......mara ya pili hii, na kumbuka ajali wakati mwingine huzuilika. Yaani baada ya mbagala tulitegemea wawe wamejifunza lakini tatizo lilelile linajirudia. Wajiuzuru!
...mwongo mkubwa, kabisa.