Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Hii inamaana kuwa tusahau kuhusu uwezekano wa umeme wa nyuklia. Kama vitu "vidogo" kama "vibomu hivi" vinatushinda itakuwaje nyuklia?
 
Tunategemea maelezo ya kina kutoka kwa wahusika na kwanini hali hiyo imefikia hapo. Ina maana fundisho la Mbagala bado halijasomeka? Inasikitisha sana pale wananchi wanapopoteza maisha katika hali hii.
 
Kiungwana kabisa nategemea kuna watu watawajibika kwa kujiuzulu.Pls mwenye details za hasara na vifo vilivyotokana na hili if any tujulishe.

Nimesikia kwenye BBC asubuhi kwamba watu 10 tayari walikuwa wamekufa na majeruhi kadhaa wapo hospitali ya Amana Na waliokufa wapo Amana pia Mwenye kujua zaidi atujuze.
 
Inasikitisha sana nina ndugu yangu hapo mpaka sasa hajui mtoto wake amelala wapi ,,inatisha
 
ninatoa wito watu wa TV zote zisambae mitaani warushe atleast live kwa siku mbili tatu hivi (especialy leo) ili watu waweze kuwaspot walipoteahaisaidii kwenda kuwatafuta wanajeshi na wanasiasa watuelezee, wafanye kureunite waliotawanyika kwa kuwarusha hewani na kuwahoji! pleeeese TV zote na bill yote pelekeni kwa mtoto wa Mwinyi na Mwamunyange!
 
aunt yangu kajeruhiwa pia lakini namshukuru Mungu katoka hospital asubuhi hii!

Mambo kama haya ya mabomu kulipuka,kufeli wanafunzi nk yataendelea kwa sana tu na yataacha mapema kama tu:-

1.wanajeshi na mapolisi watafanya kazi zao na wajibu wao kama wanajeshi na mapolisi na sio kuingiza SIASA katika utaalamu wa kijeshi
2.Wengine katika trend kama hiyo,waalimu nk.....wakiacha siasa na kufanya wanacho takiwa kufanya kama taaluma zao zinavo sema

Kwa ufupi hii sio ajari,NI UZEMBE MKUBWA SANA
 
KAMA NAKUMBUKA VIZURI,WAKATI WA MABOMU YA MBAGALA ILIUNDWA TUME,IKATOA MAPENDEKEZO JUU YA KUEPUKANA NA TATIZO KAMA LILE.........TUKAAMBIWA MAMBO YATAKUWA SHWARI,TUKAHAKIKISHIWA HATA WALE WAKAZI WA MBAGALA HAWANA HAJA YA KUHAMA KWANI WATAKUWA SALAMA,NO LONGER THE SAME SAME PROBLEM INATOKEA TENA ,TUKISEMA NI UZEMBE TUTAKUWA TUMEKOSEA,POLE HAITOSHI,HUU NI WAKATI WA KUWAJIBIKA.
:roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll::roll:
 
Mungu wa Rehema na Neema tunaomba uwaponye majeruhi wote kwa haraka, wale waliopotewa na ndugu, jamaa na marafiki uwape faraja kuu na waliopoteza maisha uwape mwanga wa milele na raha ya milele uwaangazie.

Mungu wa haki tunakuomba unyoshe mkono wako kwa wale wote waliohusika kwa kukusudia au kwa zembe wao na maafa haya katika nchi yetu. Mungu wewe ni adui wa maadui zetu na hawa watu ni adui wa uhai wetu na watoto wetu. Washughulikie mmoja mmoja kwa kadiri ya uhusika wake katika hili.

Mungu tumechoka tuteteee mwenyewe sasa!! Usinyamaze Mungu tunataka kuuona mkono wako. Amen!!
 
Kama madaraka tunapeana kiswahiba mtawajibishana vipi?? Inabidi tuseme ni bahati mbaya ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Hivi kweli JK anaweza kumuwajibisha mtoto wa Mwinyi?? Si Mwinyi naye aliwahi kumpa JK uwaziri na JK kalipa kwa kumpa mtoto wa Mwinyi... Kwanza tujiulize sakata la Mbagala kuna mtu hata mmoja alijiuzuru?? Kama hakuna then nani angechukua taadhari wakati hakuna issue yoyote kubwa nchii hii hata kama watu wanakufa. Kosa lilishafanyika kuruhusu Mkwere achakachue kura na kubakia kuwa rais then tuendelee tu kubeba msalaba manake ndo adhabu zenyewe hizo na laana toka kwa Mungu
 
ninatoa wito watu wa TV zote zisambae mitaani warushe atleast live kwa siku mbili tatu hivi (especialy leo) ili watu waweze kuwaspot walipoteahaisaidii kwenda kuwatafuta wanajeshi na wanasiasa watuelezee, wafanye kureunite waliotawanyika kwa kuwarusha hewani na kuwahoji! pleeeese TV zote na bill yote pelekeni kwa mtoto wa Mwinyi na Mwamunyange!
Jana mimi hawa jamaa wa TV stesheni walinikera sana kutoonyesha habari hizi hata japo picha za tukio.
 
mungu wa rehema na neema tunaomba uwaponye majeruhi wote kwa haraka, wale waliopotewa na ndugu, jamaa na marafiki uwape faraja kuu na waliopoteza maisha uwape mwanga wa milele na raha ya milele uwaangazie.

Mungu wa haki tunakuomba unyoshe mkono wako kwa wale wote waliohusika kwa kukusudia au kwa zembe wao na maafa haya katika nchi yetu. Mungu wewe ni adui wa maadui zetu na hawa watu ni adui wa uhai wetu na watoto wetu. Washughulikie mmoja mmoja kwa kadiri ya uhusika wake katika hili.

Mungu tumechoka tuteteee mwenyewe sasa!! Usinyamaze mungu tunataka kuuona mkono wako. Amen!!
amen.....
 
Jana mimi hawa jamaa wa TV stesheni walinikera sana kutoonyesha habari hizi hata japo picha za tukio.
Walikuwa wapo busy kuonyesha tamthilia TV zetu hizi bado hazijajua kuonyesha matukio live ya breaking news au sijui ndio udhaifu maana hata sielewi
 
Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????

WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,

HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE
 
Nafikiri haya mabomu yangelipuka IKULU labda watu ndio watawajibishwa lakini hili tutaendelea kusikiliza story tu.
 
Back
Top Bottom