Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Nafikiri hayo yanayoruka na kupita juu za nyumba ni risasi za mizinga na maroketi ya kupigia mizinga ukichanganya na high speed bullets ,nijuavyo mabomu huwa hayaruki hulipukiana papo kwa papo ila hayo niliyoyata yakiunguza fuse tu huelkea kusikojulikama kama lililofyetuliwa kutoka kwenye mzinga,ila kama kuna wakuu wanaojua habari za mabomu yanayoruka watueleze. Sidhani kama kuna mtu anatakiwa ajiuzulu huo utakuwa ni uzezeta kutaka kiongozi wa juu ajiuzulu ,mbona sehemu nyingi tu duniani kulipuka kwa maghala ya silaha ni jambo la kawaida.

Nawapa pole wenyeji wa eneo hilo na wajeshi waliokuwa kwenye zamu.

acha kuongea madudu wewe.. ni dhahiri kabisa kwamba kuna uzembe unafanyika na palipo na uzembe basi lazima uwajibikaji uwepo, tatizo watu wengine mnaleta ushabiki wa kijinga hata kwenye masuala nyeti
 
Nawasikitikia sana wanaoamini kinachoendeleea kwenye kambi za Jeshi ni AJALI??? Jamani fikirieni kwa undani zaidi ruhusuni vichwa vyenu vifanye kazi .... hakuna ajari hapo
...............eti Kova kakomaa ni ajali.....
 
"sikilizeni na msome kwa makini.... hii crises imeanzia southen part of Tanzania(Mbagala) inaelekea Southen-North ... katika ukanda huo kuna External, inaelekea Nyumbu maeneo ya kibaha, Changanyikeni ndo inashuka Lugalo.HII NI KWA SABABU WAKOLONI wALIANZIA kuyaweka Mbagala na kuelekea sehemu hizo. so get prepared"

one of my friend nilikuwa nachat naye huko FB kanipa ujumbe huu, yawezekana kuna kaukweli vile!!
 
Duh! watu zaidi ya 200!! Basi yatakuwa maafa makubwa sana kupata kutokea TZ miaka ya hivi karibuni! Poleni sana wahanga!
 
Nimeamini Bongo ni Zaidi ya Uijuavyo!!
kila kitu shagalabagala, yaani tunaishi kama kambare tu, rais Masharubu, mwaziri masharubu, hakuna wa kumwajibisha mwenzake!!
 
mabomu yalivyoanza kulipuka
 

Attachments

  • gongolamboto 1.jpg
    gongolamboto 1.jpg
    11.2 KB · Views: 63
  • gongolamboto 2.jpg
    gongolamboto 2.jpg
    26.8 KB · Views: 63
Whatever the case, Idadi ya waliokufa sio issue hata kama angekufa mtu mmoja bado sio halali kwa mtu kuuawa kwa uzembe wa watu fulani. Yafaa wahusika wawajibike!

Labda mtuambie ni maiti wangapi wanahitajika ili kiongozi ajiuzulu kwa uzembe?

''Tabi ya kulindana kwa maslahi binafsi italiangamiza taifa''
 
Mungu awape rehema zake
 

Attachments

  • kikwete smile2.jpg
    kikwete smile2.jpg
    31 KB · Views: 57
  • kikwete smile.jpg
    kikwete smile.jpg
    36.4 KB · Views: 61
Halafu mtu anakuja anatoa majibu mepesi tu eti ni ajali, ajali my ass!
Si wamezoea kutumbia hivyo halafu inaisha!! Ila hizi damu zinazomwagika za watanzania wenzetu ziwe juu yao wote!!
 
sasa ni muda muafaka wa kuanzisha maandamano ya kuikataa serikali ya kiuaji.....
hapa Nimepigiwa simu na bi mkubwa kutoka Kitunda kuwa nyumba ya Jirani kuna bomu hivyo wamewapigia wanajeshi waje kulitegua na kulichukua na ni umbali wa kilomita kama 7 kutoka gongo la mboto.....
 
kwa kweli hapa lazima husein mwinyi aachie ngazi hakuna..........ikibidi haya mkwere atupishe amekuwa mtu wa kuunda tume tuuuu na hashuguliki na maoni ya tume.......
 
Kwa maelezo yaliyotolewa na mkazi wa gongolambota karibu na Camp (Mahojiano na Wapo Radio), alisema baada ya kama milipuko minne ya mwazo zilifika gari za Jeshi tatu zikiwa na takribani askari 50, alisema alimsikia kiongozi wa ule msafara akiongea kwa Radio call akimjulisha mkubwa wake kuwa pale camp hali ni mbaya sana sana ...lakini yule mkubwa akawa anasistiza wale askari waingie kule ndani ya Camp!!! Kijana anasema wale wote walikuja na yale magari hajatoka hata mmoja hao ni askari kutoka nje ya Camp....akaongeza kuwa milipuko ilipoaanza wapo watu walikimbilia kwenda kushangaa nini kimetokea nao hao pia hakuna aliye rudi sasa hiii ni mbali na wale askari waliokuwa wanaishi ndani ya camp......Idadi ya watanzania walikufa kwenye tukio hili itakuwa ni kubwa sana....wataficha tuu...haya mabomu yamefanya mafaa hata mbali kabisa na eneo hilo mpaka Pugu, chanika huko.....hali ni mbaya sana sana wasiundangaye Umma wa Watanzania!!!!
 
kova siwezi kuanzia kuandika jina lako kwa kuanzia herufi kubwa (meaning) nimekudharau! Unakurupuka na kusema accident, tokea lini accident ikajitokea tokea yenyewe bila sababu za msingi, hili swala siyo natural catastrophic ambalo ww usingejua hata lilipoanzia.
 
Back
Top Bottom