Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
sina uhakika kama ni 200 nadhani hii ifanyiwe uchunguzi, na ww usituletee habari zisizo na chanzo
Wahusika lazima waachie ngazi. Uzembe huu utaendelea hadi lini? Mbagala tulisema ni bahati mbaya. Ina maana baada ya Mbagala wahusika hawakuchukua hatua katika kambi nyingine za jeshi? Au ndio hivyo tena nchi yetu acha kila kitu kijiendee.
Kwa kuanzia Rais, Mkuu wa majeshi na Waziri wa ulinzi WAJIUZULU, kwani ndio hao hao ambao walikua katika nafasi hizo wakati wa ulipukaji wa mabomu ya Mbagala, na sasa kinatokea kitu cha aina hiyo hiyo miaka michache baada ya Mbagala.
Pinda kasema kuna maiti 13 amana, 2 temeke, 2 Muhimbili na nyingine 3 gongolamboto so jumla ya Pinda ni 20 hadi anataarifiwa.
Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????
WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,
HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE
Taarifa aliyoitoa Pinda Bungeni inasema 19 wamefariki!
Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????
WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,
HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE
Hawa wabunge nawashangaa wanaendelea na mipasho bungeni kwa ajili ya posho ya leo huku waajiri wao wanaangamia £öéßù.
Si ombi ahirisheni bunge ASP Mje mjionee hali halisi huku G/Mboto. angalau kuwafariji hawa walalahoi jamani hamna hata huruma?j