Papa Diana
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 304
- 22
Mbaya zaidi anaonesha kuwa alikuwa hajui kinachoendelea na yeye katumwa kutuliza watu, asivyojua lugha ya Public(diplomasia) anasema eti "NA KUZAGAA HOVYO MITAANI", lugha gani hii anatumia?, Kwa nini jeshi la polisi lisiajiri Public relation officer?, maana kama wasemaji wenyewe ndiyo hawa basi kazi ipo.
Wanae tena anauwelewa mpana na ni makini......Lakini siunajua Kova anavyopenda Sifa/ kujionyesha.....