Eeh! Mungu uwanusuru watoto, wazee, walemavu na watu wako wote na hayo mabomu.
Shimbo! Vipi ukupata taarifa za kiintelenjinsia kuhusiana na hayo mabomu kabla ya kudhuru ndg zetu?
Mkono wa Mungu ukasimame, ili wazembe wawajibishe, wanadamu wakiwaogopa, basi w
Wewe Mungu uingiliye kati, kwani mambo tunayoyashuhudia ndani ya taifa letu yanahitaji ujasiri wa kuyashughulikia, na Wewe unaweza. Tulowapa dhamana wana hofu na wanadamu, wamesahau kuwa upo Mungu mwenye wivu. Yashughulikiye, ili watu wako wasijetenda dhambi ya kukata tamaa. Naambiwa hiyo dhambi haina msamaha, basi kuliko watu wako kutenda hiyo dhambi, ni bora uwashughulikiye hao wazembe.