Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

umemuona hata haeleweki eti ni ajali, na anasema watu warejee majumbani na watulie.

si ndo hapo, watu warudije hom wakati nyumba zinawaka moto. Pia hawajui milipuko itaisha saa ngapi. Huu si upotoshaji!
 
jamani eee isiwe nongwa hii ni bahati mbaya tu,mbona wajeshi wa jwtz hawana noma na m2,kama vile wale fwanya fujo! Lakini inabidi tahadhari zichukuliwe na makambi ya jesi yawe mbali na raia wakae mipakani huka na maghala ya ilaha yajengewe chini ya ardhi
 
I suppose!..
Ila cha ajabu ni kwamba TV zimekomaa na matangazo ya kawaida...hawaonyeshi kitu zaidi ya sentensi za kuflash pale chini!
Hao waandishi wa habari probably ndio guests wanaochungulia hapo chini ili wapate News kiulaini...
 
Another sloppy answer from sloppy leader, umefanya uchunguzi mda gani iliyokufanya utoe matamshi hayo ya kututhibitishia,
 
Pumbavu..... wakatulie ma mamyake.... yeye kawekwa huko sijui wapi mgao wa maji /umeme/mabomu haujui adai watu watulie.....
Katika kozi zake zooote alizopita, alisikia wapi watu wakisikia mabomu wanatulia, that says it all about his knowledge na kazi yake:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20:
Umeona eh?? hata wanavyosema watanzania tuvumilie mgawo n9 kwa kuwa wao hawauexperience hata kidogo so hata uchungu wa mabomu haya hawaujui kabisa .... kwao ni kama kibaka achomwaye moto wanaona ni kama vile mbwa au paka alogongwa na gari usiku.......hawakawiio kuuliza kwa nini atembee usiku............kesho utasikia wakijitetea kuwa ni kosa la wananchi kujenga karibu na kambi ya jeshi...............sijawahikuichukia nchi yangu kusema ukweli kwa lililotokea leo.................seriously have to think twice bout this f.u.c.k.e.n. government.
 
KOVA kupitia ITV anasema eti ni ajali tuu,watu wasizagae warudi majumbani!huku shimbo anasema 10km radius kusiwe na watu!tushike lipi tuache lipi?
<br />
<br />

Bahati mbaya, hivi ndo nchi yetu inavyoongozwa utafikiri club ya pombe za kienyeji. Kila mtu anajitamkia analojisikia kutamka, ili mradi alinde kitumbua chake kwa gharama ya wananchi
 
mimi niko kibaha maili moja, moto unonekana na milipuko inasikika, ee mungu tuokoe
 
Kupitia Radio One nimemsikia Mkuu wa Mkoa Bw. Sadiki akisema mtu mmoja amefariki na 40 wamejeruhiwa.
 
hivi kama JWTZ imeshindwa kuhifadhi mabomu ya kawaida vp kama wangemiliki WMD, kwa hali hii nchi yote si ingeteketea?


Kwa uzembe huu jeshi letu linahitaji mikuki na sime tu silaha nzito zitatumaliza wenyewe.!
 
Serikali imetishia na imejaribu kuniua. Na taka ikifika asubuhi nataka nisimkute mtu yeyote akiwa madarakan! Nmechoka wakuu,watz tumelalaaaa!
 
....G/mboto tena ahhh!! Hawakujifunza ile ya mbagala, tatizo huwa hawayaangalii haya mabomu.....mabomu yanatakiwa kuangaliwa kwa uangalizi mkubwa sana na kuchunguzwa mara kwa mara kama ili yasilete madhara kama haya.
 
Katavi acha Uongo. Hali imetuli kwa sasa. Mimi nimepangiana zamu na wife yeye kalala na watoto mimi nipo zamu hadi saa 8.00 namwamsha aendelee ili nami nipate usingizi kidogo. huwezi kulala kwani kama haya yanayoruka kuelekea sehemu zingine yakikukuta haupo macho ni hatari tu
 
Kibonde wa clauds anafanya juhudi kuingia ndani ya kambi ili atupe hali jinsi ilivyo kwenye ghala no 5
 
pOleni sana watu wa Dar...
Huku ndiko kurudia kosa ambako kunastahili kuadhibiwa watu sasa!
sUPPOSE THIS ACTION GOES UNPUNISHED...gooosh!!i will learn something about martyrdom
 
Back
Top Bottom