Pole sana ni ishu ya network labda, na wengine huenda wamepoteza simu!this is serious!
Nina ndugu zangu kibao maeneo ya Gongolamboto, Kipunguni na Ulongoni....Simpati hata mmoja!
Mkuu, uzembe wa namna hii inabidi uvumilie tu kwenye hii nchi ya kifisa na kishikaji..kwa sababu kunapotokea uzembe kama huu wanachekeana tu hakuna mtu anaewajibishwa..UZEMBE TU HUU. kWA NINI TAHADHARI HAIKUCHUKULIWA KUTOKANA NA MAAFA YA MBAGALA?
Kamanda wa polisi,Kova ametoa tamko juu ya mabomu yaliyolipuka gongo la mboto,na kusema ni ajali 2,na uchunguz unaendelea kufanyika!wa2 wa2lie majumban mwao
this is serious!
Nina ndugu zangu kibao maeneo ya Gongolamboto, Kipunguni na Ulongoni....Simpati hata mmoja!
Yameanza tena!!yameanza tena ..nipo tegeta nasikia mirindimo ya ngurumo
Kova yupo laivu itv, anasema watu watulie na warudi majumbani mwao! Anasema ni ajali.
umemuona hata haeleweki eti ni ajali, na anasema watu warejee majumbani na watulie.
Bila nguvu ya umma uzembe huu utaendelea tu
Dr Hussein mwinyi ametangaza kupitia clouds fm kwamba ni magala ya mabomu ndo yamelipuka na sasa wanadhibiti moto usiendelee maeneo mengine
I suppose!..Pole sana ni ishu ya network labda, na wengine huenda wamepoteza simu!