Nicksixyo
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 944
- 263
Baada ya tuzo ya DOWANS kupingwa na wananchi na watanzania ..sasa serikali ya CCM imeamua kuja na staili nyingine mpya kwa kubuni mbinu ya kupata fedha za kuwalipa wafadhili wa uchaguzi uliowapa ushindi wa utata..
sisiem kwa kutumia high profile conspiracy ya Gen. wa jeshi na kada wa chama Mtukutu Shi... m..bo wamelipua ghala la mabomu huko Gongo la mboto kwa makusudi ili waanzishe mfuko wa maafa watakao utumia kama chanzo cha mapato mbadala wa DOWANS
nimemaliza...
source: personal school of thought and analytical thinking
Kweli umemaliza,kwa kufikiri.Ni wazo mkuu halikataliwi,ila kwa makusudi hapo ndipo napopata wasiwasi,Mazingira ya mlipuko huu si mchezo hapo ni mahali penye makazi mengi ya raia,kama kuna kiongozi mchakachuaji anayediriki kufikiria kitu kama hicho basi atakuwa muuaji kuliko Hitla,Iddi Amin,naomba nimfananishe na Osama na world tread centre.Maafa haya hawata changisha ila watatoa pesa serikalini na musema wanawalipa wahanga na kiasi kitakachotumika ni kidogo kuliko kilichotolewa serikalini.Asilimia nyingi itarudi kwenye pengo la DOWANS.Tusubiri tuone kifuatacho...