M
MegaPyne
Guest
Source: Various sources
...Details pliiiiz!..
Wanajeshi nao wameamua kufisadi nchi kutokea mezani kwao.
Siamini kabisa kwamba hii ni bahati mbaya. Miripiko hii imeanzishwa kwa makusudi kabisa katika jitihada za kuficha ukweli wa mambo.
Theory number 1-Fedha za kununulia Silaha wametia ndani, au hawakununua kabisa au wamenunua kidogo ili kuficha wizi na ubadhirifu wameamua ku anzisha moto na kuteketeza kila kitu.
Theory number2-Silaha nyingine wameuza huko Congo na South Sudan. Kuua so wameamua kuyaunguza ili kufuta ushahidi.
Jeshi letu JWTZ limejihusisha sana na migogoro inayozunguka Tanzania kwa kufanikisha biashara haramua ya silaha.
Theory number 3- Katika hatua ya kujikita zaidi kwenye ulingo wa Siasa za Kiharamia Edward Lowassa na Rostam Aziz wamechukua sehemu kubwa ya Bunduki, Risasi na Mabomu ili kuimarisha MAFIA yao tayari kutwaa kiti cha Urais mwaka 2015 na kujenga Himaya ya MAFIA Tanzania.
DUDE linazidi kupata nguvu.
poleni sana wakazi wa gongo la mboto.
Baada ya hili tukio,kiongozi wa JEshi anayehusika na usimamizi wa Silaha Awajibishwe. Mbagala ilikuwa funzo,jeshi linatakiwa litunze silaha kwa uangalifu mkubwa mmno,pia wanaotunza silaha maslahi yao inabidi yaboreshwe ila kazi ithaminike.
tuombe mola wasife watu kutokana na haya mabomu
Yametulia sasa
Jamani hizi TV zetu as if hakuna kilichotokea wenyewe ni mamuvi tu na masoap operas, kama hakuna uwezekano wa kupata picha hata sauti tupu inatosha, hakuna mwenye akili timamu anaweza kuenjoy muvi na soap opera saa hizi! we want to know whats going on right now, kucopy na kupaste kumezidi