Glue
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 156
- 49
I see, mpaka yakija kuisha itakuwa balaa...HIvyo ninavyoyasikia, niko maeneo ya Makongo Juu lakini nyumba yote inatikisika... Nilikuwa na ki-wine changu kichwani chote kimeyeyuka, du! Leo ni kulala na jeans, yasijeruka mpaka huku. Mungu wasaidie ndugu zetu wa huko madhara yasiwe makubwa sana.
Kwakweli wine lazima iishe kichwani. Wanatuharibia maulid ye2. Mungu atuepushie balaa hili