Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Clouds FM wanatoa taarifa za huko sasa hivi
 
Nimewasiliana na baba yangu yuko Kitunda km4 toka gongo la mboto wamekimbia nyumba mdogo wangu na mkewe hawapatikani. Tigo voda zote hatuwasilini kwa dar. Mwangaza ni mkunwa sana na milipuko haihesabiki hata kidogo niko mlimani hali ni mbaya sana.

Kikwete amelala????
 
kuna tangazo linapita tbc1 likiwataka wakazi wa gongolamboto waondoke maeneo hayo.
 
maji marefu na sheh yahaya wanafanya kazi gani..fukuza hawa kwenye kamati ya intelijensia
 
Nashauri jeshi letu lisijiingize ktk military propaganda zitakazolishinda kuzidhibiti. Kinaweza kuwa kitisho kwa wanaodiriki kufanya mandamano uraiani. It could be!

I had thought so.... thinking so isn't bad, but needn't be right....!
 
Hakuna taarifa zozote za wakuu wa ulinzi kuelezea nini kimetokea?
 
mabomu yaliyotekea mbagala na sasa gongo la mboto cha ajabu viongozi wa jwtz hutasikia waziri wala mkuu wa majeshi kujiuzulu ingawa walitamka kuwa haitatokea tena eti wamedhibiti
 
Nashauri jeshi letu lisijiingize ktk military propaganda zitakazolishinda kuzidhibiti. Kinaweza kuwa kitisho kwa wanaodiriki kufanya mandamano uraiani. It could be!
... one of the Greatest Thinkers in the right direction. Soma pia mchango namba 76.
 
Mbona hayaishi jamani, nyumba yangu iko hatarini watoto wanalia. Ni mazito mno

Toa watoto nje mkuu, ni hatari kuwepo ndani kwani kuta zaweza kuanguka. Hii ni hatari kwakweli.
 
Nawashukuru sana wana jf kwa kutuhabarisha na hizi breaking news vinginevyo tungesubiri hadi kesho ndo tujuzwe!
 
Poleni sana ndugu zangu. Mungu ahepushe mbali. Lakini mi sishangai kama askari wanatunza silaha katikati ya makazi ya watu, tunategemea nini??
 
Nawashukuru sana wana jf kwa kutuhaarisha na hizi reaking newa vinginevyo tungesubiri hadi kesho ndo tujuzwe!

mkuu ... hizi ni nini ..au unaongea huku unakimbia mabomu
 
Back
Top Bottom