Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

I see, mpaka yakija kuisha itakuwa balaa...HIvyo ninavyoyasikia, niko maeneo ya Makongo Juu lakini nyumba yote inatikisika... Nilikuwa na ki-wine changu kichwani chote kimeyeyuka, du! Leo ni kulala na jeans, yasijeruka mpaka huku. Mungu wasaidie ndugu zetu wa huko madhara yasiwe makubwa sana.
 
Jamani mpaka huku masaki milipuko inasikika na nyumba. Zinatingishika. Bado yanaendelea mbona hivi
 
uzembe gani huu? hivi kama jeshi linashindwa kulinda silaha zake, kweli tunaweza kupambana na adui wa nje, naanza kupata wasiwasi
 
aloo....sasa hivi yanalia mabomu makubwa makubwa ....nipo mikocheni lakini noma....watu wawajibishwe kwa kweli.....ila nani ana ubavu wa kuwajibisha jeshi.
 
nazani kuna mabomu wanatakikwa kuyadispose wao wanhifazi tu-madhara yake ndo kama haya-JWTZ nao wanatakiwa wawe makini-la sivyo itakuwa kila kambi inalipuka-yale ya mbagala kuna mzazi wa rafiki yangu alikuwa ni miongoni mwa wale wanajeshi waliokufa-sasa milipuko ya kila mara hii ni hatari sana-wafanye uchunguzi makini wajue causes ya hii milipuko-isije leta domino effect kwenye kambi nyingine
 
Hatari kabisa kabisa jamani. Mwisho wa Kikwete huu. Ndugu zangu hawapatikani tena kwenye simu, nitakufa na Kikwete na wezi wenzake.
 
Wkuu nipo transit motel mabomu yqnqlipuka kama kunduz... Mkubwa nipo natathmin matokeo
 
jamani twendeni tukimbilie magogoni, nadhani huko kuna usalama
 
sasa hivi inakaribia saa nzima...haya mabomu hayaishi.....mi sielewi kwa nini linalipuka mojamoja.....kwa nini yasilipuke yote kwa pamoja?
 
Duuu mi nipo Salasala nasikia sauti na moto nauona utadhani transforma linawaka. Waombaji kazaneni kuomba Mungu atunusuru.
 
Jamani mpaka huku masaki milipuko inasikika na nyumba. Zinatingishika. Bado yanaendelea mbona hivi

shost nakwambia kipande cha kinondon apa imenibd nipande juu ya mnaz manake nyumba inavyoshake b4 use haifai...labda apa ju ya mbuyu ntasalimika manake aka kajumba kanaweza kuslip dwn any sec from nw
 
Back
Top Bottom