Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Jamani this is so scaring...yaani nimeogopa utafikiri nipo maeneo ya karibu... jamani pole ndugu zetu. Tunawaombea Mungu awalinde, mtoke salama!!!
Hivi ni nani? Lowassa...vipi mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amefika eneo la tukio?
au zilikuwa mbwembwe za ijipti?
Kama kuna wadau walio karibu huko naomba wachukue picha za kutosha then hata kesho mungu akipenda waturushie hapa
Jamani this is so scaring...yaani nimeogopa utafikiri nipo maeneo ya karibu... jamani pole ndugu zetu. Tunawaombea Mungu awalinde, mtoke salama!!!
Shimbo amethibitisha kutokea kwa milipuko ya mabomu huko Gom's kwenye kambi ya jeshi, ghala no 5 la silaha. Amewaomba wanaoishi jirani wahame kwani hali ni mbaya.
SOURCE TBC TAIFA.
Poleni sana wote mliokumbwa na hili janga ushauri mlio karibu kimbieni na muende mbali
Inabidi vitu kama hivi vikae mbali sana na makazi ya raia (nilidhani tumeshajifunza na majanga yaliyotukumba kabla)
Wote wanakimbia hakuna wajasiri wa kuchukua picha.Kama kuna wadau walio karibu huko naomba wachukue picha za kutosha then hata kesho mungu akipenda waturushie hapa
walinzi wa ulinzi mtoto wa mwinyi baada ya yaliyotokea mbagala alituambia mabomu kwenye magala yote ya jeshi yataangaliwa,,, sasa kafanya nini?
serikali ya michakato inayoendelea mpaka lini? Wale wa mbagala mpaka leo wengine wanaishi maishi ya ukimbizi sasa hawa wengine kama kutatokea maafa itakuaje?
weeeeeee redio 1 ndio wa kujitoa muhanga acha kabida hapa tutapewa habari baadae sana hamna wa kusogelea hapo kamwe
Waziri sio Walinzi...walinzi wa ulinzi mtoto wa mwinyi baada ya yaliyotokea mbagala alituambia mabomu kwenye magala yote ya jeshi yataangaliwa,,, sasa kafanya nini?
serikali ya michakato inayoendelea mpaka lini? Wale wa mbagala mpaka leo wengine wanaishi maishi ya ukimbizi sasa hawa wengine kama kutatokea maafa itakuaje?
Eti msemaji wa jeshi kasema wakae maeneo ya mabondeni, mh! Source: Channel 5Sasa hivi tangazo limetoka wananchi wanaokaa Gongo la Mboto wahame, Wahamie wapi, kwa njia ipi, hakuna anayetoa maelezo. Hatujifunzi wala hatuna mbinu za kukabiliana na majanga.