Yaani ule upuuzi wa Mbagala umejirudia????
Vipi kuhusu INTELIJENSIA YA IGP MWEMA haijaweza kubaini hiyo milipuko???
Vipi kuhusu ULINZI shirikishi???
Yaleyale ya RICHMOND/DOWANS,umeme wa DHARURA. Kila kitu ni dharura kwa Tanzania.
Hapo ndipo tunapozidi kujua UDHAIFU WA SERIKALI YA CCM. Kuwa hawa jamaa hawana akili kabisa na wala huwa hawapendi kufikiri. Kwanini baada ya matukio ya Mbagala hawakuchukua TAHADHARI ya kufanya ukaguzi wa ARMOURY ZOTE KAMA KUNA HATARI MILIPUKO MINGINE KAMA HII??
Safari hii tunataka WATU TUANDAMANE NCHI NZIMA KUSHINIKIZA DR. MWNYI ajiuzulu. Last time Mbagala alikomaa kuwa HAWEZI KUACHIA NGAZI. This time tuseme basi!!!!! You poor Tanzanians wake up please! Acheni kuzubaa,watakaouwawa na hayo mabomu ni ndugu zenu,jamaa zenu na rafiki zenu!!!
ANGALIZO: Nahisi kama vile kuna njama ya kulipua makusudi haya MABOMU ili kuwafanya Watanzania wasahau sakata la DOWANS NA MGAWO. Kwamba wakti watu wanatafakari hayo Maboumu ya G/Mboto MAFISADI WAPATE NAFASI YA KUKAMILISHA MIPANGO YAO YA KULIPA ILE 94b/=kwa DOWANS na wakti huohuo WAKIENDELEA KUWASHA MITAMBO YAO(DOWANS)!!!!!!