Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

kaeni mbali ...maana yankweda km nyingi...... halafa huyu waziri wa ulinzi ni bogas kweli
 
Yaani ule upuuzi wa Mbagala umejirudia????
Vipi kuhusu INTELIJENSIA YA IGP MWEMA haijaweza kubaini hiyo milipuko???
Vipi kuhusu ULINZI shirikishi???
Yaleyale ya RICHMOND/DOWANS,umeme wa DHARURA. Kila kitu ni dharura kwa Tanzania.

Hapo ndipo tunapozidi kujua UDHAIFU WA SERIKALI YA CCM. Kuwa hawa jamaa hawana akili kabisa na wala huwa hawapendi kufikiri. Kwanini baada ya matukio ya Mbagala hawakuchukua TAHADHARI ya kufanya ukaguzi wa ARMOURY ZOTE KAMA KUNA HATARI MILIPUKO MINGINE KAMA HII??

Safari hii tunataka WATU TUANDAMANE NCHI NZIMA KUSHINIKIZA DR. MWNYI ajiuzulu. Last time Mbagala alikomaa kuwa HAWEZI KUACHIA NGAZI. This time tuseme basi!!!!! You poor Tanzanians wake up please! Acheni kuzubaa,watakaouwawa na hayo mabomu ni ndugu zenu,jamaa zenu na rafiki zenu!!!

ANGALIZO: Nahisi kama vile kuna njama ya kulipua makusudi haya MABOMU ili kuwafanya Watanzania wasahau sakata la DOWANS NA MGAWO. Kwamba wakti watu wanatafakari hayo Maboumu ya G/Mboto MAFISADI WAPATE NAFASI YA KUKAMILISHA MIPANGO YAO YA KULIPA ILE 94b/=kwa DOWANS na wakti huohuo WAKIENDELEA KUWASHA MITAMBO YAO(DOWANS)!!!!!!
 
Ina maana hawa wanajeshi hawakujifunza kwa yale matatizo ya mbagala jamani, mbona uzembe mkubwa sana wakuu. Hapa roho za watanzania wasio na hatia na mali zao zinapotea tena. serikali itaingia tena mfukoni kuwalipa na hawa na kwa namna hiyo uchumi unaendelea kudorora kutoka na na kupoteza nguvu kazi pamoja na kulipia hasara inayotokana na uzembe wa Jeshi.
 
yametulia kidogo.

mi niko uku nakula bata tu nasubir mech ya aseno na baka
 
Hata sijui tutajifunza lini kutokana na makosa yanayojirudia kila siku!
 
Naomba kujua kazi za jeshi letu? How come mabomu yanaweza kudetonate tu kirahisi hivi? au hii iko nje ya scope
 

yuko kwny mgawo wa Duwance, baada ya kudeposit ile 90M. Then aende kwa apointment ake ya kulavidavishwa majakuzini... Achen bana, wao ndo watanzania, sis wadanganyika!
 
Sasa inabidi kuandamana kweli kwa mtaji huu tutamalizana why tunisia and egypt why not here??????????????
 
Hivi vituo vyetu vya TV mbona viko nyuma ya wakati kiasi hiki kwanini wasituonyeshe hiyo breaking news
 
Serikali sasa inabidi itambue kuwa hakuna aja Makambi ya Kijeshi kukaa maeneo mjini: ya Mbagala tuliiona madhara yake na leo ya Gongolamboto tunaona. Serikali inasubiri nini?
 
vipi mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amefika eneo la tukio?

au zilikuwa mbwembwe za ijipti?
 
Serikali na Jeshi la Tanzania nao ni punda kabisa. Mtatunziaje silaha kubwa kama mabomu hayo mijini? Kwa wenzetu hata duka la baruti za sherehe (fireworks) haliwekwi mjini, sasa iweje mabomu ya kivita eti yatunziwe mjini?

Mwaka jana kuna yaliyolipuka huko Mbagala, na na bado eti viongozi wetu hawakuona umuhimu wa wa kubadilisha sehemu ya kutunzia mabomu. Tunajifunza nini? Sana sana nadhani mabomu hayo ni yale yaliyoachwa na Nyerere takribani miaka 30 iliyopita sasa yameanza ku-expire, ndiyo maana yalipuka yenyewe.
 
Poleni sana jamani wa huko. Hivi hakuna vikosi vya uokozi nchi hii?
 
Kama kuna wadau walio karibu huko naomba wachukue picha za kutosha then hata kesho mungu akipenda waturushie hapa
 
Back
Top Bottom