MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Jamani nimemsikia kama kasema bado wanatafuta taarifa hajasema hana taarifa........nadhani anaogopa kusema kitu kisicho sahihi au?Acha nimemsikia nikatamani niipasue hii redio kwa kweli!! Mungu tuifadhali na utuponye na mabomu haya!!