Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

wakubwa napata habari hapa Radio Free Africa kwamba mabomu yamelipuka gongolamboto kambi ya jeshi walio hko watujuze, nasikia ni kama movie watu wanakimbia huku na huko, kama kuna mdau huko atujuze
 
Sikukuu na mabomu wapi na wapi eeeh mungu tuepushe familia yangu imechanganyikiwa kabisa dduuuuuuuh
 
Hakuna maafa yoyote kwa mlio jirani, majeruhi au vifo!
 
Clouds FM wamempigia simu waziri wa ulinzi HUSEIN MWINYI anasema hana taarifa!!!!!!!!1 Anaishi wapi?
 
aloo....sasa hivi yanalia mabomu makubwa makubwa ....nipo mikocheni lakini noma....watu wawajibishwe kwa kweli.....ila nani ana ubavu wa kuwajibisha jeshi.
jeshi linaweza kuwajibishwa vizuri sana-sema sisi watz tumeshajijengea woga,na kuona wanajesh as if ni watu ambao hakuna mtu ambae anaweza kuwahoji kitu chochote kile-but its possible to do so-lazima watupe sababu yenye maana ya kulipuka hayo mabomu
 
habari zisizo rasmi ghala la kuhifadhi silaha ktk kambi ya JWTZ Kisarawe limelipuka,wingu kubwa la moshi limetanda
 
huseni mwinyi vowed to resign, he didnt, i cant day no more
 
Hivi mpaka wafe wangapi ndio wataacha kuhifadhi mabomu karibu na nyumba za watu???? Kutenda kosa sio kosa lakini kurudia kosa ni kosa. Lazima watu wawajibike safari hii.
 
Poleni Sana Rose..., hii sasa balaa tupu

asnte mwaya
nmepanda juu ya mti nw aka kamgongo wa tembo wala skaamini tena manke ni tttttii pppppuuuuupuuu puuuuuuuuu ...ah jaman km kuna mtu nilikuwa namdai bas nimemsamehe ...
 
Poleni sana ndugu zangu. Mungu ahepushe mbali. Lakini mi sishangai kama askari wanatunza silaha katikati ya makazi ya watu, tunategemea nini??

Askari wetu adui zao watu wanaowalinda, hivyo wanaweka silaha karibu isiwe kazi kuzifikisha karibu na Adui. Mi hii nchi sasa ninashindwa kuielewa hivi inaongozwaje jamani?, mbona watu hawapo responsible na maisha ya watu. Sasa nina hakika leo hii Airport Ndege haitui wala kupaa, na zilizo hewani zitakuwa diverted KIA kama ni kubwa upuuzi gani huu?.

Silaha za tokea vita ya Kagera ya kwanza mwaka 1972 bado zimehifadhiwa karibu na makazi ya watu, wanashindwa jua kuwa muda ni factor pia plus joto la Dar?. Halafu pakitulia utawaona wanakuja wameongozana na makamanda wenye vitambi kutoa kauli nyingine za kisiasa.
 
shost nakwambia kipande cha kinondon apa imenibd nipande juu ya mnaz manake nyumba inavyoshake b4 use haifai...labda apa ju ya mbuyu ntasalimika manake aka kajumba kanaweza kuslip dwn any sec from nw
Bora ushuke urudi ndani ya nyumba mnazi ukikudondosha!
 
Hivi mpaka wafe wangapi ndio wataacha kuhifadhi mabomu karibu na nyumba za watu???? Kutenda kosa sio kosa lakini kurudia kosa ni kosa. Lazima watu wawajibike safari hii.

nan atamwajibsha nan?
dah ...nataka niahmie somalia mie NKALE MAISHA!
 
sasa hivi inakaribia saa nzima...haya mabomu hayaishi.....mi sielewi kwa nini linalipuka mojamoja.....kwa nini yasilipuke yote kwa pamoja?

Hiyo ni main storage ya vifaa vya jwtz na tabia ya kulipuka mabomu stoo ni kwamba linaanza moja linaambukiza jingine kwa hy hapo ni kwamba hadi yaishe yote na joto lipungue ndo usalama. Vingenevyo yataendelea kulipuka hadi yaishe. Nasikitika hapo kuna mali za mabilioni za jeshi hadi magari yote ya akiba yanayowekwa kwa ajili ya emergency. Uzembe umezidi sana hii nchi jamani loh!
 
Back
Top Bottom