ngege john
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 593
- 116
ni nchi ya matamko hii,hii ndiyo sababu ya kutokuwepo kwa strong organ zinazo deal na mambo ya msingi.Kila kukicha ni siasa tu tena zisizo na taswira chanya.
Duuh hii sasa balaaa jamaniBaaada ya kujadiliana waongeze bei jtatu ikashindikana.. Kwa pamoja oryx wameamua kuanzia leo tar 9/2/2017 gesi imepanda rasmi
Kg 15=52,000-53,000
Kag 6=21,500-22,000
Kila la kheri Mwananchi
Mh waziri wa nishati,
Kwa heshima na taadhima tunaamin upendo wako kwa wananchi uko pale pale.
Tunaomba ingilia kati hizi bei mpya zilizopandishwa kuanzia leo na watu wa gesi... Naamini hata kama ni kupanda kodi amjapandisha alf kumi kwa mtungi mmoja wa kg 15..Kwangu mm naamini huu n wizi
10"000 kwa mwananchi wa kawaida n hela nyingi sana ntashangaa kama mh waziri na wewe utakubaliana nao kwwnye hilo mihani naoo wanapandisha ijumaa mnatupeleka wapi wananchi....
Bado tunaamini amjateuliwa kwa makosa na n mapenzi ya Mungu kilio hiki kitakufukia na kufutilia mbali hizi bei zaoo
Kumbe gesi nchini mwetu inauzwa bei ya juu sana, sijawahi kufikiria kwamba mtungi wa kilo 15 unafika 40,000Baaada ya kujadiliana waongeze bei jtatu ikashindikana.. Kwa pamoja oryx wameamua kuanzia leo tar 9/2/2017 gesi imepanda rasmi
Kg 15=52,000-53,000
Kag 6=21,500-22,000
Kila la kheri Mwananchi
Mh waziri wa nishati,
Kwa heshima na taadhima tunaamin upendo wako kwa wananchi uko pale pale.
Tunaomba ingilia kati hizi bei mpya zilizopandishwa kuanzia leo na watu wa gesi... Naamini hata kama ni kupanda kodi amjapandisha alf kumi kwa mtungi mmoja wa kg 15..Kwangu mm naamini huu n wizi
10"000 kwa mwananchi wa kawaida n hela nyingi sana ntashangaa kama mh waziri na wewe utakubaliana nao kwwnye hilo mihani naoo wanapandisha ijumaa mnatupeleka wapi wananchi....
Bado tunaamini amjateuliwa kwa makosa na n mapenzi ya Mungu kilio hiki kitakufukia na kufutilia mbali hizi bei zaoo
CCM safiiiiccm hoyee
Nadhani uongozi wa nchi umeshamshinda asione aibu kujiuzuru iwapo hataki basi asubiri 2020 wino ufanye Kazi yake.Khaaa ongezeko LA buku 6 mpaka 7 si mchezo kuna harufu ya upuuzi wa kutosha nchi hii
Imepanda sana!!Sijaelewa. ..bei imepanda au imeshuka?
Kwetu tulikuwa tunanunua mtungi wa kilo 15 kwa shilingi 40,000 tu.Imepanda sana!!
Nasoma msg imetumwa mdahuu.. KUANZIA LEO TAR 11/2/17
KG 15 WAKALA WATANUNUA KWA SH 45"000 BADALA YA 46"000 NA MDOGO 18"000 BADALA YA 18"500
WATAUZA KG 15 KWA SH 51"000 BADALA YA 52"000 YA AWALI NA NDOGO 21"000 BADALA YA 21"500 YA AWALI
TUENDELEE KUPIGA KELELEE WAZIRIHUSIKAA HII N DHAHAAAMA KWA TAIIFA MASIKINI KAMA HILII
NAIMANI AMJAWAPINDISHIA KODI YA KUFIKIA KUONGEZA ALF TISA KWA MTUNGI WA 15KG
TUNAOMBA SAUTI ZENU ZITUMIKE KUSAIDIA WANANCHI NA SIO KWENYE UMEME TU
WENU
TUMEIPENDAA WENYEWE
kumbe Hata nyie wafia ccm mnanunua? Mie nilidhani mnapewa bure,duh kumbe na nyie mnakamuliwa.Kwetu tulikuwa tunanunua mtungi wa kilo 15 kwa shilingi 40,000 tu.
Imepanda sana!!