Gesi ya mtwara ni natural gas na haifai kwa kupikia, gesi tunayopikia ni LPG (liquified petroleum gas), hii hupatikana kwenye nchi zinazozalisha mafuta tu.Ukizungumzia hili suala la gesi unaweza kudhani gesi tunatoa Malawi kumbe ni pale Mtwara.
Dodoma 56 saivJana nmenunua mtungi wa kilo 30 kwa sh 50,000....hatari hii
Tunajenga flyover, tunanunua mapanga boi mengine Na uwanja WA chatu international unajengwa! Uchumi Unakua kwa 70%. VumilieMbona sijaona au kusikia maelezo ya kupanda kwa gesi ya kupikia, naona EWURA wako kimya, huku mikoani gesi umetoka 47,000/- hadi 54,000/- mwenye habari yake ya kupanda kwa gesi ya LPG, atuwekee hapa.
INAAGIZWA NJE INALETWA NA KUSHUSHWA SBM NA KOJmbona waziri alisema siyo hiyo mkuu, nilisikia kuna baadhi inatoka kenya
Tunaomba waziri makamba na muhongo mtueleze kwanini mkaa ni iasue na gesi ya kupikia badala ya kupungua inazidi kupanda.
Ilitakiwa kuwa na plan ya street distribution ya gas pipes nyumba hadi nyumba kama ilivyo dawasco lakini mko kimya kutwa kwenye media mkionyesha makongamano hayatusaidii sisi wananchi.
Ombi hivi media mnapoonyesha watu wametoka lunch kwenye warsha na makongamano nayo ni habari?????
Vumilia mkuu ndiyo nchi za viwanda zilivyo.Tunaomba waziri makamba na muhongo mtueleze kwanini mkaa ni iasue na gesi ya kupikia badala ya kupungua inazidi kupanda.
Ilitakiwa kuwa na plan ya street distribution ya gas pipes nyumba hadi nyumba kama ilivyo dawasco lakini mko kimya kutwa kwenye media mkionyesha makongamano hayatusaidii sisi wananchi.
Ombi hivi media mnapoonyesha watu wametoka lunch kwenye warsha na makongamano nayo ni habari?????
Utakuwa kilo 15 ndio 54000 mkuu, 30 utakuwa juu zaidiJana nmenunua mtungi wa kilo 30 kwa sh 50,000....hatari hii